Recent content by the humble gentleman

  1. T

    Nape: Wananchi wanauliza Bomberdia ndio nini?Sisi wa vijijini tunafaidika nayo vipi?

    Naye ni kweli kashindwa kuwaelezea wananchi wake umuhimu wa hizo ndege??wananchi wengi huwa wanapenda kuona faida za direct na kusahau zile indirect
  2. T

    Biashara ya ulanguzi kwa watoto na madanguro Tanzania

    Inasikitisha sana,wanao jihusisha na biashara hiyo haramu tunaishi nao,cha muhimu ni sisi wananchi ni kushirikiana na serikali yetu kuripoti hizi mambo.tanzania itaendeleza na watoto waleo
  3. T

    Dereva wa Lissu asema hana kumbukumbu vizuri kwa kilichotokea kwenye shambulio dhidi ya Lissu

    Tuache vyombo husika vifanye kazi zao,tusichoke kukemea maovu nchi yetu sote hii.We need peace.
  4. T

    Dereva wa Lissu asema hana kumbukumbu vizuri kwa kilichotokea kwenye shambulio dhidi ya Lissu

    Swala la lissu linapoelekea linataka kutumika zaidi kisiasa na kunufaisha upande fulani na kuchafua upande fulani. Maswala ya Uhai na siasa mimi sipendi nataka nione haki ikitendeka kijani iwe kijani na kaki iwe kaki.afya ya mtu imeingiliwa na siasa ndo maana Sikuzinaenda linapungua uzito...
  5. T

    TID amlalamikia Billnass, ‘sijapenda alikuwa akinibembeleza nimsaidie ajulikane'

    .zilla afanye staili zake zile zile mpo watu waelewe yeye ndo mwenye hakimiliki.dogo kweli kamfunika jamaa. Zilla marekani mwingi afanyi tena zile street rap.mfano mdogo wa zilla na b.nass ni futur na desiegner,future asingeweza kaza desiigner angemuovertake na kujimilikisha staili ya ya uchanaji.
  6. T

    TID amlalamikia Billnass, ‘sijapenda alikuwa akinibembeleza nimsaidie ajulikane'

    Godzill Godzilla alichokosea nikumuachia billnass atembelee mitindo yake na swaga yaani kutembelea nyota ya zila to fullest. Godzilla alitakiwa akome nae kistaili mpk watu wangekuwa zila is the owner wa staili hiyo na na swaga. Ila tusimlaumu billnass yawezakuwa zila ni Rose modeli wake si ka...
  7. T

    Sugu amchana Faiza,amwambia kama anataka rav4 aende WCB

    sugu amekosea sana kumjibu yule dada.silence is wisdom,majibizano ya kwenye mitandao yataingilia mpk kwenye harakati zake za kisiasa.Silence is wisdom
  8. T

    Kauli za rais wa Tanzania na mtetezi wa wanyonge Dkt. Magufuli leo mkoa wa Manyara

    magufuli katoa hiyo ahadi asilimia mia inatekelezeka kabisa,sema hiyo ahadi ni jiwe takatifu kwa upinzani sababu alisema atatoa ndani ya awamu yake ya kwanza hakusema mwanzoni au mwishoni ila itatoka awamu hii hii.nasema itakuwa jiwe cos watu watapewa wakati tunajongea na kukaribia msimu wa 2020...
  9. T

    Kauli za rais wa Tanzania na mtetezi wa wanyonge Dkt. Magufuli leo mkoa wa Manyara

    a angalia na wewe maandishi yako,twaweza hata wewe hawajakuacha salama.haya jpm followers au jpm’s followers??kibanzi kwa mwenye kibanzi.
  10. T

    Uhuni unaofanywa na Paul Makonda akishirikiana na watu tuliowaamini kulinda nchi

    Tangia huyu bwana aanzishe vita ya madawa ya kulevya ndio siku bundi wa yeye kutokubaliwa au kubalika kwa baadhi ya watu alitua juu ya paa lake.nakumbuka kabla ya kuanza vita ya madawa alikuwa anaondoka na kijiji kila akifanya mikutano na baadhi ya wakazi wasehemu za dar nakutatua kero zao moja...
  11. T

    Kwanini Mange Kimambi anawachukia Diamond Platnumz na Zarina Hassan?

    mange angekuwa amejikita kwenye siasa na kuibua maovu iwe yeye au kwa kutumiwa ningekuwa na mfatilia lakini kwa upande wangu na muona kama mtu aliye changanyikiwa pia huwa na washangaa wale wa mange kasema cjui ni watu wa aina gani.haiwezekani mtu anatumia lugha chafu anagombana na watoto kama...
  12. T

    Tetesi: Diamond Platnumz ampeleka Ommy Dimpoz polisi

    sheria hujui wewe,utakuja fungwa,u better zeep up ur mouth for the sake of ur head.kinywa kiliponza kichwa
  13. T

    Tetesi: Diamond Platnumz ampeleka Ommy Dimpoz polisi

    unajua ommy kumshtaki diomond hatoweza kwasababu diomond hamna sehemu alipo msema mwenzie waziwazi kwa jina katumia mafumbo,sasa ommy katumia picha vibaya hivyo achomoki hiyo kesi,lazima apatikane na hatia kabisa.
  14. T

    Jinsi Wanamuziki wadogo wanavyoangamia ndani ya uadui wa Ali Kiba na Diamond

    Kiukweli mond na kiba hamna kipya wanacho Fanya ila majina yao na fanbase Kubwa inawabeba ila kuna wasanii wanafanya kazi mf aslay nyimbo zake nzuri hazina mbwembwe za beats maneno ya naskika vzr na melody,akina bright baraka Beka n.k. wanafanya mziki mzuri hadi dmpoz kakumbwa na upepo wa kiba...
  15. T

    Wasanii Wa Bongo Mtafika Lini Level Hizi? Tazama Utajiri, Mali Na Maisha Ya Billionea "WILL SMITH"

    Bilionea ni Bilionea unafikiri unaanzia umiliki wa bilioni ngapi??tuanzie hapa kujibu swali lako
Back
Top Bottom