Biashara ya ulanguzi kwa watoto na madanguro Tanzania

:angry:
Nimeona nitumie kiswahili ili aibu hii ya Biashara ya Ulanguzi kwa watoto na Biashara ya Madanguro tuisome na kuichangia kitanzaniatanzania Maana Kwa kiingereza nimeona nitakuwa nimejianika mno kwa walio nje na maono mema ya nchi hii.

Nimefusatilia sana mjadala wa BBC kwa siku tatu na umemalizika leo asubuhi.

Muhtasari
Siku ya kwanza

Mtangazaji wa BBC aliwahoji watoto wanaojihusisha na biashara ya Udanguro. walieleza namna walivyoingia Jijini wakihadaiwa kuwa wanaletwa Jijini kufanya kazi nzuri ya kipato. wengi wamedanganywa kutokea vijijni ambako maisha ni magumu. Na walivyofika wakajikuta wanafugwa kama watumwa na kazi iliypo ni kulazimishwa kuuza miilio yao!! walieleza namna ambavyo hawapendi lakini hawana pa kutokea. Hebu fikiria mtoto umri wa miaka 11, 12 au hata 13!!! Tena mmoja wao akasema wanaondesha madanguro hayo wakamatwe!! Wanapochukuliwa hupewa labda elfu 50,000 huambulia kiduchu to 10,000 au zaidi kidogo. na kama mtoto akirudi na pesa kidogo basi hapewi hata senti tano!!! anaaambiwa utajijua mwenyewe!!

Siku ya pili

Mtangazaji alimhoji mmoja wa wamiliki madangauro na wafanya biashara hiyo chafu, mbaya, fisadi, yenye kutia kichefuchefu!
Alitamba kuwa alirithishwa na bibi yake. Kwa hiyo haoni shida yoyote. Maana hakusoma!! hivyo kazi yoyote kwake ni halali!!!
'mtu akija ananiachia mzigo wangu naye anaondoka na mzigo wake!!' Hawa watoto wadogo ndo mizigo!! na akaendelea kulonga namna anavyowakamua hawa watoto. wakipewa elfu hamsini yeye anachukuwa 30,000 na 20,000 anamwachia mtoto.( UONGO!!) Mchafuzi huyo aliendelea kutamba kuwa na kocha maalum wa kuwafunza watoto hawa nmna ya kujituma wakiwa kazini!!

Siku ya tatu- Niliyokuwa nasubiri!!
Mtangazaji aliwahoji watu wa kiwawode (NGO) Then Waziri Sofia Simba na msemaji wa Jeshi la Polisi (Tena mwanamke!!)
Hapa ndo uozo, upupu, uzandiki, uongo, ufinyu wa uelezi ulivyojitokeza!! Hasa kwa wawili wa mwisho.
Sofia Simba alidai kuwa wanajitahidi kutekeleza na kulinda maslahi ya watoto. Ingawa alikiri kuwa tatizo lipo. Lakini hakueleza bayana nmna wanavyolishulikia. msemaji wapolisi alidai kuwa kama wananchi watartipoti polisi basi hatua zitachukuliwa.

Sasa wanajamii Nina maswali mengi tu
Mpaka mwandishi wa BBC anawahoji ina maana kweli serikali haina habari?
Maana mpolisi huyo alidai wanafanya kwa siri- je a kina Willy Gamba Polisi hawpo?
Anyway nisimalize yote mengi ya maswali tuendelee kudadavua hapa labda na njia za kukomesha unyama huu. Ila serilaki 100% inakoroma usingizini!!
Nawasilisha


Inasikitisha sana,wanao jihusisha na biashara hiyo haramu tunaishi nao,cha muhimu ni sisi wananchi ni kushirikiana na serikali yetu kuripoti hizi mambo.tanzania itaendeleza na watoto waleo
 
Biashara kongwe mno hii, inashamir na kustaw kutokana na AVAILABILITY OF MARKET. Soko la uhakika lipo haiwez kufa hii biashara
 
:angry:
Nimeona nitumie kiswahili ili aibu hii ya Biashara ya Ulanguzi kwa watoto na Biashara ya Madanguro tuisome na kuichangia kitanzaniatanzania Maana Kwa kiingereza nimeona nitakuwa nimejianika mno kwa walio nje na maono mema ya nchi hii.

Nimefusatilia sana mjadala wa BBC kwa siku tatu na umemalizika leo asubuhi.

Muhtasari
Siku ya kwanza
Mtangazaji wa BBC aliwahoji watoto wanaojihusisha na biashara ya Udanguro. walieleza namna walivyoingia Jijini wakihadaiwa kuwa wanaletwa Jijini kufanya kazi nzuri ya kipato. wengi wamedanganywa kutokea vijijni ambako maisha ni magumu. Na walivyofika wakajikuta wanafugwa kama watumwa na kazi iliypo ni kulazimishwa kuuza miilio yao!! walieleza namna ambavyo hawapendi lakini hawana pa kutokea. Hebu fikiria mtoto umri wa miaka 11, 12 au hata 13!!! Tena mmoja wao akasema wanaondesha madanguro hayo wakamatwe!! Wanapochukuliwa hupewa labda elfu 50,000 huambulia kiduchu to 10,000 au zaidi kidogo. na kama mtoto akirudi na pesa kidogo basi hapewi hata senti tano!!! anaaambiwa utajijua mwenyewe!!

Siku ya pili
Mtangazaji alimhoji mmoja wa wamiliki madangauro na wafanya biashara hiyo chafu, mbaya, fisadi, yenye kutia kichefuchefu!
Alitamba kuwa alirithishwa na bibi yake. Kwa hiyo haoni shida yoyote. Maana hakusoma!! hivyo kazi yoyote kwake ni halali!!!
'mtu akija ananiachia mzigo wangu naye anaondoka na mzigo wake!!' Hawa watoto wadogo ndo mizigo!! na akaendelea kulonga namna anavyowakamua hawa watoto. wakipewa elfu hamsini yeye anachukuwa 30,000 na 20,000 anamwachia mtoto.( UONGO!!) Mchafuzi huyo aliendelea kutamba kuwa na kocha maalum wa kuwafunza watoto hawa nmna ya kujituma wakiwa kazini!!

Siku ya tatu- Niliyokuwa nasubiri!!
Mtangazaji aliwahoji watu wa kiwawode (NGO) Then Waziri Sofia Simba na msemaji wa Jeshi la Polisi (Tena mwanamke!!)
Hapa ndo uozo, upupu, uzandiki, uongo, ufinyu wa uelezi ulivyojitokeza!! Hasa kwa wawili wa mwisho.
Sofia Simba alidai kuwa wanajitahidi kutekeleza na kulinda maslahi ya watoto. Ingawa alikiri kuwa tatizo lipo. Lakini hakueleza bayana nmna wanavyolishulikia. msemaji wapolisi alidai kuwa kama wananchi watartipoti polisi basi hatua zitachukuliwa.

Sasa wanajamii Nina maswali mengi tu
Mpaka mwandishi wa BBC anawahoji ina maana kweli serikali haina habari?
Maana mpolisi huyo alidai wanafanya kwa siri- je a kina Willy Gamba Polisi hawpo?
Anyway nisimalize yote mengi ya maswali tuendelee kudadavua hapa labda na njia za kukomesha unyama huu. Ila serilaki 100% inakoroma usingizini!!
Nawasilisha



Haya madanguro ya watoto yako mitaa ya wapi?,mimi najua tu madanguro ya wakubwa
 
Haya madanguro ya watoto yako mitaa ya wapi?,mimi najua tu madanguro ya wakubwa
BBC walirusha kipindi redion na wakabaini mitaa mingi hasa kule buguruni. I wish ningerecord ningeweka hapa.
 
Dawa ni kuirasimisha(Legalise) hii biashara ya madangulo.Kwasababu ikirasimishwa itakuwa rahisi kidhibiti(Regulate).
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom