Habari za wakati wapendwa ?
Ni matumaini yangu mu wazima wa Afya !
Natafuta mpenzi wa kike anaeishi Dar, awe mchumba na hatimae mke wangu .
Awe mrefu kiasi , mwembamba wastani , mwenye nidhamu na mwenye upendo wa dhati .
Mimi ni Mrefu wa futi 5.8 na mwembamba kiasi .
Naishi Dar K/nyama ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.