Hapo unaangalia stage mkuu, itabidi uwe vizuri kugundua zile features ambazo mgonjwa anakuwa nazo kwenye kila stage. For primary and secondary stage tumia banzathine penicillin, ila for late and tertiary stage tumia penicillin G.
Habari za wakati huu wana JF!
Ni matumaini yangu kuwa mko wazima na bukheri wa afya. Naomba kuuliza , ni nini chanzo cha kutokwa na damu ukeni (menstrual bleeding) kwa muda mrefu bila kukoma tukiangalia sanasana kwenye mazingira yetu ya kitanzania, na je tiba yake ni ipi?
Mwenye kufahamu...
Habari yako mkuu. Mimi nipende kutoa mchango wangu kidogo juu ya sababu za kutopata UKIMWI ilihali unafanya tendo la ndoa na muhathirika,
1. Kwanza kabisa kisayansi kuna group la watu wachache Sana inakadiriwa Kuwa 1% kwenye mkusanyiko wa watu wa eneo moja , ambao wamezaliwa hawana au...
Habari yako mkuu. Mimi nipende kutoa mchango wangu kidogo juu ya sababu za kutopata UKIMWI ilihali unafanya tendo la ndoa na muhathirika,
1. Kwanza kabisa kisayansi kuna group la watu wachache Sana inakadiriwa Kuwa 1% kwenye mkusanyiko wa watu wa eneo moja , ambao wamezaliwa hawana au...
Nimekuwa nikipitia makala nyingi za tekinolojia mbalimbali katika nyakati hizi za karne hii, ukiangalia kwa makini makala nyingi zinaenda kinyume na 'Naturality' , mfano mzuri ni kuhusu project ya bwana mkubwa Elon Musk, anajitahidi sana tena mno kutushangaza kwa uwezo wake mkubwa wa akili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.