Recent content by The Hacker 115

  1. T

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Asilimia 80 ya Watanzania wanaishi na virusi vya UKIMWI

    kwamba zaidi ya watanzania milioni 40 wanaishi na virusi?
  2. T

    JamiiForums Tanzania Kwanini vijana wadogo sasa wanapata magonjwa yasiyoambukiza?

    Aina ipi ya maisha?
  3. T

    JamiiForums Tanzania Kwanini vijana wadogo sasa wanapata magonjwa yasiyoambukiza?

    Maendeleo ya sayansi na technolojia yamechangiaje ongezeko hili?
  4. T

    JamiiForums Tanzania Kwanini vijana wadogo sasa wanapata magonjwa yasiyoambukiza?

    Unatoa ushauri gani hapo kiongozi?
  5. T

    JamiiForums Tanzania Kwanini vijana wadogo sasa wanapata magonjwa yasiyoambukiza?

    Habarini wanajamiiforums, Hivi sasa kumekuwa na ongezeko la magonjwa yasiyokuwa ya kueneza (non-communicable diseases) kama vile kisukari, shinikizo la damu na kufeli kwa figo miongoni mwa vijana wadogo wenye umri wa kati ya miaka 20-35. Je, unahisi wapi tunakwama na tufanyeje kujikwamua...
  6. T

    JamiiForums Tanzania Ujasusi Kwa mtu binafsi katika shughuli za kila siku

    Once a spy always a spy.
  7. T

    JamiiForums Tanzania Syphilis inatibika kwa dawa zipi?

    Hapo unaangalia stage mkuu, itabidi uwe vizuri kugundua zile features ambazo mgonjwa anakuwa nazo kwenye kila stage. For primary and secondary stage tumia banzathine penicillin, ila for late and tertiary stage tumia penicillin G.
  8. T

    JamiiForums Tanzania Abnormal menstrual bleeding: Je nini chanzo na ni kwa namna gani tunaweza kutibu tatizo la kutokwa damu ukeni (kipindi cha hedhi) bila kukata?

    Habari za wakati huu wana JF! Ni matumaini yangu kuwa mko wazima na bukheri wa afya. Naomba kuuliza , ni nini chanzo cha kutokwa na damu ukeni (menstrual bleeding) kwa muda mrefu bila kukoma tukiangalia sanasana kwenye mazingira yetu ya kitanzania, na je tiba yake ni ipi? Mwenye kufahamu...
  9. T

    JamiiForums Tanzania Time Perception

    Time is an illusion in our own minds.
  10. T

    JamiiForums Tanzania Madaktari, kwanini Mimi sijapata UKIMWI mpaka sasa?

    Habari yako mkuu. Mimi nipende kutoa mchango wangu kidogo juu ya sababu za kutopata UKIMWI ilihali unafanya tendo la ndoa na muhathirika, 1. Kwanza kabisa kisayansi kuna group la watu wachache Sana inakadiriwa Kuwa 1% kwenye mkusanyiko wa watu wa eneo moja , ambao wamezaliwa hawana au...
  11. T

    JamiiForums Tanzania Madaktari, kwanini Mimi sijapata UKIMWI mpaka sasa?

    Habari yako mkuu. Mimi nipende kutoa mchango wangu kidogo juu ya sababu za kutopata UKIMWI ilihali unafanya tendo la ndoa na muhathirika, 1. Kwanza kabisa kisayansi kuna group la watu wachache Sana inakadiriwa Kuwa 1% kwenye mkusanyiko wa watu wa eneo moja , ambao wamezaliwa hawana au...
Back
Top Bottom