Recent content by The great jay

  1. T

    Plot4Sale Viwanja bei nafuu vinauzwa Arusha

    Ni km 28 kutoka mjini na km 1 kutoka main road ya Moshi Arusha
  2. T

    Plot4Sale Viwanja bei nafuu vinauzwa Arusha

    Hivyo Ni vya wenyeji sio vya kampuni bro
  3. T

    Plot4Sale Viwanja bei nafuu vinauzwa Arusha

    Maeneo yanauzwa maji ya chai Bei ni milioni 5 kwa 20×20 milioni 7 kwa 30×20 milioni 4 kwa 10×20 umeme na maji vipo manthari Ni nzuri na kuvutia majirani wameshahamia barabara zinapitika wakati wote Umbali wa maeneo Ni km 28 kutokea Arusha mjini na km 25 kutokea KIA airport viwanja sio vya...
  4. T

    Kiwanja maji ya chai arusha 6.5mil

    Kiwanja kinauzwa kiko mita 200 kutoka kituo cha kona ya maroroni maji ya chai barabara kuu ya moshi arusha ukubwa ni mita 30 kwa 15 kinaumiliki halali kiwanja kimezungukwa na maeneo yaliyojengeka makazi mazuri maji na umeme vipo barabara pana na mandhari nzuri ya kilimanjaro na meru bei ni...
  5. T

    Balozi wa Israel ashusha nondo Mkutano wa UN; akata ngebe zote

    Jews wako in different religion sasa sijajua unasemea upande mmoja wa kikristo unasahau wao walimuua Bwana Yesu usichanganye mafaili mkuu na kuhukumu ukuu wa jina la Mungu ambaye yuko huru kutimiza matakwa yake kwa binadamu ambayo wewe na mimi hatuyajui mpaka yatakapotokea
  6. T

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kale chakula cha mchana upumzishe akili usiwe na mawazo sana na hii thread... Na ujue mimi nakufundisha ww ila kuelewa ni juu yak. Na hata usipende kuni qoute sana sibishanagi na vifaranga humu kuna wakenya walikuwa heavy na argument za maana walikuja wakapita we cha kukushauri ongeza uwezo wa...
  7. T

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Vipi umekula cha mchana au unawaza ma RPG bado?
  8. T

    Phone4Sale Nokia 2.2 inauzwa 130,000 Arusha

    Picha og bado haijapigwa kama uko serious interested sijaona tatizo maana sio kwamba utauziwa kwenye gunia
  9. T

    Phone4Sale Nokia 2.2 inauzwa 130,000 Arusha

    Ndio maana ya namba
  10. T

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nokia 2.2 for sale Internal storage 16gb Ram 2gb 4g and 3g support Android 10 Camera 13mp front real great and 5mp Battery 12 hours nakuendelea Haina tatizo lolote clean Mawasiliano 0784606710 Arusha pata simu og
  11. T

    Phone4Sale Nokia 2.2 inauzwa 130,000 Arusha

    Nokia 2.2 for sale Internal storage 16gb Ram 2gb 4g and 3g support Android 10 Camera 13mp front real great and 5mp Battery 12 hours nakuendelea Haina tatizo lolote clean Mawasiliano 0784606710 Arusha pata simu og
  12. T

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    [emoji23][emoji23] huwa wanaelewa chinichini nnachowakubali
  13. T

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Uwezo wako wa kujua silaha na vita ume base sana kwenye movie ndio maana unatumia vigezo vya kitoto na ku argue kwa imagination.. Jeshi sio vifaa wala nn hususani jeshi linalojikita kulinda mipaka ya nchi yake sio kutawala dunia na ndio majeshi ya nchi nyingi yamebase kujilinda ni nchi chache...
Back
Top Bottom