Recent content by The Good Guy

  1. T

    Natafuta mume

    You sound serious, sio kama scam wengine
  2. T

    Nimevurugwa sina hamu na mwanamke

    Kwamtazamo wangu hujasoma vizuri hii thread. Amesema mwanamke aliondoka June an kurudi August. aliporudi walikaribishana kiuwana ndoa. baada ya wiki mbili mwanamke akamwambia ana mimba yake. baada ya miezi kadha jamaa akashika kadi akagundua mimba ni ya mwezi wa sita. My Take : hiyo mimba sio...
  3. T

    Nimevurugwa sina hamu na mwanamke

    Una uhakika DNA itaonesha mtoto ni wake kwa sababu unahakika zinachakachuliwa. Sababu ya kwa nini zinachakachuliwa unaijua pia
  4. T

    Utachukua hatua gani iwapo dada yako au binti yako kapigwa na mume wake?

    Iwapo utamshika kwa ajili ya kuji defend badala yake akaamua labada kukung'ata ili umuachie. utachukua hatua gani?
  5. T

    Utachukua hatua gani iwapo dada yako au binti yako kapigwa na mume wake?

    Je ikitokea mmegombana alafu mwanamke akaanza kukupiga, utatafanya?
  6. T

    Namba hii 0657105692 ni tapeli

    Tumesha mjua huyo
  7. T

    Utani sio kwenye mapenzi jamani

    Hainingii kichwani hii
Back
Top Bottom