Mbowe ana akili sana- Jamaa kafungiwa akaunti zote za benki na biashara zake nyingi kuharibiwa lakini bado aliweza kwenda kuangalia fursa za uwekezaji Dubai na SA
Yes- Mtu anayekuteua kwenye nafasi fulani anashindwa nini kukupa maagizo? Kuna kitu hakiko sawa- Mahaka, Bunge na Serikali kikatiba ni mifumo inayojitegemea- Job juzi anawatisha wabunge kuwa wasipopitisha bajeti ya serikali rais anaweza kuvunja bunge.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.