Hakuna mwanadamu asiye na hofu .hata Yesu aliona hofu anasema mathayo 26:39 EE Baba yangu ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke. ...
Hofu Ina sehemu katika mwili WA mwanadamu na hatuwezi kuiondoa
Tunatafuta michango ya hongera mkuu . Wengine tuna magroup ya kazini kuchangiana nyakati Kama hizi NI kitu cha kawaida au ulikuwa hutaki hujue Kama nimepata? Wivu Tu.
Mkuu elf 5 hii au nyingine ?
Elf moja Tu zitakuwa nyingi rejea mkutano Wao WA chama Nani alikuwa anamtaka pale?. Si aliambiwa atoke nje wamjadili akagoma au umesahau?
Ingekuwa poa Sana sababu angekuwa amewekeza kwenye future now days tungekuwa mbali Sana kwenye soko la Ajira ngambo . SASA ona how primitive we are kwamba ata waziri Tu kimombo NI shida
Matumizi ya Kiswahili mashuleni. Lugha ambayo Aina ushindani kwenye soko la Ajira .
Kusaini Sheria inayomtaka mbunge kujua kusoma na kuandika Tu Kama sifa ya kuwa mbunge
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.