Recent content by The Coin Man

  1. The Coin Man

    JamiiForums Tanzania Kilimanjaro: Mtoto mdogo akatwa kichwa kwa sababu ya imani za kishirikina

    Hapana mkuu wachaga NI wakarimu Sana .tukio NI la kiimani mkuu
  2. The Coin Man

    JamiiForums Tanzania Tanganyika ingekua Jangwani kama Dubai sijui kungefananaje?

    Lissu hatonyongwa isipokuwa lengo la kumshikiria NI hili hasiamasishe reform na no elections. Baada ya October ataachiwa huru ondoa hofu
  3. The Coin Man

    JamiiForums Tanzania Mdudu anayesumbua dunia hasa Africa

    Umewahi kuiona sura ya ibilisi? Ezekiel 28:17 Moyo WAko ulijivuna Kwa sababu ya UZURI WAko ? Kirusi cha hiv kina uso Kama WA ibilisi real?
  4. The Coin Man

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tundu Lissu: Sasa ile hofu yangu inatimia, kesi ya uhaini ambayo adhabu yake ni kifo inafanyika gizani ili watu wasijue

    Hakuna mwanadamu asiye na hofu .hata Yesu aliona hofu anasema mathayo 26:39 EE Baba yangu ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke. ... Hofu Ina sehemu katika mwili WA mwanadamu na hatuwezi kuiondoa
  5. The Coin Man

    JamiiForums Tanzania Kwanini Job Ndugai Wanalazimisha tumuite Hayati lakini Augustino Ramadhani wanataka tumuite Marehemu?

    Darasani tulifunzwa neno "hayati" hutumika Kwa mtu aliyetimiza miaka 10 Tangu kufariki hapa unasema nini?
  6. The Coin Man

    JamiiForums Tanzania Wazazi, acheni kuwapost watoto wenu wachanga mtandaoni

    Tunatafuta michango ya hongera mkuu . Wengine tuna magroup ya kazini kuchangiana nyakati Kama hizi NI kitu cha kawaida au ulikuwa hutaki hujue Kama nimepata? Wivu Tu.
  7. The Coin Man

    JamiiForums Tanzania Nitaichangia CCM $40k kama Samia atapata kura za ukweli 3m

    Mkuu elf 5 hii au nyingine ? Elf moja Tu zitakuwa nyingi rejea mkutano Wao WA chama Nani alikuwa anamtaka pale?. Si aliambiwa atoke nje wamjadili akagoma au umesahau?
  8. The Coin Man

    JamiiForums Tanzania PICHA: Hii ndio maana halisi ya mfariji wa Taifa. Rais Samia Abarikiwe sana

    Mfariji WA Taifa HE Samia Hassan . Deep down namuona Kama muuaji WA Taifa in Lucas voice
  9. The Coin Man

    JamiiForums Tanzania Watanzania Kama KARNE hii tupo hivi nasadiki kusema Mwalimu Nyerere(Baba wa Taifa) alipambana Sana

    Ingekuwa poa Sana sababu angekuwa amewekeza kwenye future now days tungekuwa mbali Sana kwenye soko la Ajira ngambo . SASA ona how primitive we are kwamba ata waziri Tu kimombo NI shida
  10. The Coin Man

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ernest Mgawe: Ajenda ya No reforms no Election imeitikisa serikali

    Naomba tukio la kuvunjwa Bunge tarehe tajwa?
  11. The Coin Man

    JamiiForums Tanzania Watanzania Kama KARNE hii tupo hivi nasadiki kusema Mwalimu Nyerere(Baba wa Taifa) alipambana Sana

    Matumizi ya Kiswahili mashuleni. Lugha ambayo Aina ushindani kwenye soko la Ajira . Kusaini Sheria inayomtaka mbunge kujua kusoma na kuandika Tu Kama sifa ya kuwa mbunge
  12. The Coin Man

    JamiiForums Tanzania Kwanini Dr Samia Suluhu Hassan kafanikiwa zaidi?

    Kafanikiwa Sana mpaka wenzake wanafia mikononi mwake
  13. The Coin Man

    JamiiForums Tanzania GE2025 Video: Nchi ina utani hii. Huyu ndo alitaka kwenda kugombea Urais huko CUF?

    Heri ya huyu. Ila Yule mama NI bure kabisa
  14. The Coin Man

    JamiiForums Tanzania Mzee Kikwete hajapenda kuzungumza leo msibani

    Baba mtandao
Back
Top Bottom