Ha ha ha ha ha! Mwapa where do you get the audacity to talk about USALITI? Kweli kuchumia tumbo noma.
And please Mwapa ulisoma DUCE hatuna campus ya duce wala muce. They are constituent colleges. Call a spade a spade
Ha ha ha ha magid bwana. Jana baada ya kuyakataa mageuzi na ukapigwa za uso leo naona unakuja kivingine.
Mtu hajitafutii sifa wacha waone wenyewe acha kupiga mayowe.
Ana haki na kila sababu ya kulalamikia ubaguzi wa Chadema kwani wamewabagua mamluki wake kabla ya kuhitimisha kazi aliyowatuma. Na ajua kwamba Shibuda atafukuzwa kwani ameishasomeka kwenye camera za CDM. Chezea power of people wewe.
Heshima GTs
Moja ya character muhimu katika siasa za ukombozi wa awamu ya pili (against black colonialist) na ambaye nilimpa heshima kubwa sana ni Prof. Baregu.
Hivi karibuni baada ya kuteuliwa kuwa mmoja wa wajumbe wa kutekeleza mchakato wa kutupatia katiba mpya amepotea kabisa katika...
Umenena mkuu. Mi nakuongezea kama ifuatavyo.
* PWAGU HUPATA PWAGUZI
* BIRDS OF THE SAME FEATHERS FLOCK TOGETHER
* KESI YA NYANI HAHUKUMU NGEDERE
* ZIMW LIKUJUALO HALIKUL LIKAKWISHA * UKILA NYAMA YA MTU VIGUMU KUACHA
Hata hivyo tuna imani yatakwisha kwani hakuna...
Juzi Zitto alipoomba samahani mimi ni mmoja wa waliokataa kumsamehe. Just read his writing closely. Isn't he doing the same? tabia za inzi kuleta ghasia na bughudha kila wakati . . .
Mimi nadhani kuanza kupigia chapuo ile kata ni jambo la muhimu sana. kumbuka kifo ni namna ya kubalance nature. The man is gone na maisha lazima yaendelee. Kazi kwa CDM maana Ifakara (na jimbo la Kilombero kwa jumla) ilifanyiwa mchakachuo wa kufa mtu 2010.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.