Recent content by The Black Hermit

  1. The Black Hermit

    JamiiForums Tanzania Wakuu, ipeni marks hii hadithi.

    Hahahaa. Napata ngapi? Niwekee poll hapo. Kwangu ni muhimu kwa ajili ya kurekebisha.
  2. The Black Hermit

    JamiiForums Tanzania Wakuu, ipeni marks hii hadithi.

    Wale mpendao Hadithi za Ujasusi, mnasemaje?
  3. The Black Hermit

    JamiiForums Tanzania Hizi pikipiki zina changamoto gani?

    Lete uzoefu. Unanishauri ninunue ipi?
  4. The Black Hermit

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa serikali mliwezaje kutoboa, mbona mimi naenda kushindwa

    Mkuu, 613k take home unalia hivi? Nilianza kazi na take home ya 400k, nikamfungulia wife kitu kwa mkopo, wife akawa sasa ananisevu hivyo kutokana na kukopa take home yangu ikawa 180k. Nilikuwa nasomesha mtoto shule private lakini nilimudu. Kodi ya nyumba ninalipa 100k pia, bado kodi ya biashara...
  5. The Black Hermit

    JamiiForums Tanzania Pikipiki ya sh 500,000/= nayo ni pikipiki?

    Mkuu garage naongezea ubora wa nini kwa 200,000? Engine au rangi na muonekano?
  6. The Black Hermit

    JamiiForums Tanzania Nichukue pikipiki gani kati ya hizi tatu?

    Mkuu ulifanikiwa kupata chochote kitu utusheee na sisi?
  7. The Black Hermit

    JamiiForums Tanzania Nichukue pikipiki gani kati ya hizi tatu?

    Kwa iringa hii ambako hamna watumiaji mkuu
  8. The Black Hermit

    JamiiForums Tanzania Nichukue pikipiki gani kati ya hizi tatu?

    Spea vipi mkuu? Naweza muzipata Lakini haimaanishi kuwa siwezi kwenda tofauti na wengine. Hata hivyo umeshauri vizuri sana.
  9. The Black Hermit

    JamiiForums Tanzania Nichukue pikipiki gani kati ya hizi tatu?

    Speed siyo kipaumbele mkuu. Kwanza uendeshaji wangu ni 40km/hr mpaka 50km/hr. Nikivuka hapo labda niwe nimeaga nyumbani kabisa. Bado naipenda familia.
  10. The Black Hermit

    JamiiForums Tanzania Nichukue pikipiki gani kati ya hizi tatu?

    Mkuu umenifanya nicheke 😂😂😂. Ila hongera kwa mipango huo. Mimi sina mpango wa V8 bado, huenda huko mbele, nikihitaji nitakuja tena nipate ushauri kabla sijanunua. Ni muhimu kupata maelezo maana wapo watumiaji wengi wanaoona ipi afadhali kuliko kwenda kichwa kichwa.
  11. The Black Hermit

    JamiiForums Tanzania Nichukue pikipiki gani kati ya hizi tatu?

    Asante wa ushauri huu.
  12. The Black Hermit

    JamiiForums Tanzania Nichukue pikipiki gani kati ya hizi tatu?

    Unadhani Honda anaweza kwenda km ngapi kwa Lita 1 mkuu?
  13. The Black Hermit

    JamiiForums Tanzania Nichukue pikipiki gani kati ya hizi tatu?

    Siwezi kwenda speed kubwa mkuu. Nitaenda kama nasindikiza Mheshimiwa Rais kwenye kusalimia halaiki wakati wa sherehe za Uhuru 😂😂😂. Kikubwa ninachoangalia ni mafuta, uimara na uwezo wa kutembea njia ya rafu na lami.
  14. The Black Hermit

    JamiiForums Tanzania Nichukue pikipiki gani kati ya hizi tatu?

    Asante Mkuu. Haitasumbua kwenye miinuko na milima? (Japo sipandishi sana milima ila kuna ka Kilima hapa Iringa kuelekea Mjini ukiwa unatoka Dar kama utakuwa ulishafika). Nawaza kwamba kukapita kila siku kunaweza kuwahi kuchosha engine.
Back
Top Bottom