haswaaa .. maana unakuta mtu amesha kaa mdamrefu mtaani huku akiwa anapambana na maisha yake kwa njia tofauti na kusoma , ni lazima asahau mamboo mengi na hapo unakuta amesha gawa material yake yote ,,, so kwenye akili yake imejaa nyanya ,vitunguu, karoti, bamia. na mengineyo nkimaanisha watu...