Maswali yanayotoka kwenye Tax Management Assistant II ni ya muundo upi?

Public Finance and taxation.

Somo hilo lipo katika masomo ya CPA.
Kama alisoma Uchumi form five na six hiyo mambo ipo pia. Hivyo anaweza akazama pia kwenye nondo za NBAA kwa faida zaidi, maana hizi Paper kupiga namba ya kiatu kwa Diploma/Degree holder imekuwa ni kawaida sana.
 
Back
Top Bottom