Recent content by the big fish

  1. the big fish

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wa water pump ambayo ni bora

    Unamaanisha zile engine za diesel za piston moja wanazotumia pia kwenye karasha za dhahabu?
  2. the big fish

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wa water pump ambayo ni bora

    Wanajamvi habari za majukumu. Nataka kuanzisha mradi wa kilimo cha umwagiliaji wa mazao mbali mbali sasa nipo katika kufanya utafiti wa kutafuta pampu nzuri na bora kwaajili ya kazi twaja hapo juu Nmekuja kwenu wana JF ili mnipe ushauri wa pampu ipi bora Kwa vigezo hivi Iwe inchi 4 Iwe ya...
  3. the big fish

    JamiiForums Tanzania Serikali imekatisha tamaa wakulima wa kahawa mkoa wa Kagera

    Duuh! Hio noma
  4. the big fish

    JamiiForums Tanzania Je, Salim Kikeke ataendelea kuendesha mijadala ya kisiasa na viongozi wa vyama vya upinzani?

    Namaanisha mlengo wa kisiasa specifically wapo ambao hawana chama
  5. the big fish

    JamiiForums Tanzania Je, Salim Kikeke ataendelea kuendesha mijadala ya kisiasa na viongozi wa vyama vya upinzani?

    Ni sahihi kabisa nilihitaji tu kujua mawazo ya watu wengine wanacompare vipi hali kama hii ukizingatia salim anawafuasi wengi ambao pengine hawana mlengo wowote
  6. the big fish

    JamiiForums Tanzania Je, Salim Kikeke ataendelea kuendesha mijadala ya kisiasa na viongozi wa vyama vya upinzani?

    Baada ya hapo ataendeleza tena mijadala yake na viongozi wa vyama vya upinzani ilhali tayari wameshamjua kuwa yeye ni mfuasi wa CCM
  7. the big fish

    JamiiForums Tanzania Je, Salim Kikeke ataendelea kuendesha mijadala ya kisiasa na viongozi wa vyama vya upinzani?

    Kwa Dotto magari na mwijaku tayari walikuwa wameonyesha mlengo wao tokea mwanzo kwa kikeke ile taalum yake ya uandishi wa habari ambayo nadhani ndio imemtambulisha hadi sisi tukamfahamu hatua aliyoichukua hawezi kuweka kwenye mabano kwenye kaz yake ya uandishi
  8. the big fish

    JamiiForums Tanzania Je, Salim Kikeke ataendelea kuendesha mijadala ya kisiasa na viongozi wa vyama vya upinzani?

    Habari ya wote humu ndani kama kichwa kinavojieleza hapo juu,salim kikeke ni moja ya watangazaji nguli wa mda mrefu wa masuala mbalimbali yanayohusu mambo mbali mbali kuhusu nchi yetu hata alipokuwa BBC. Baada ya kutoka huko ughaibuni kikeke alikuja na kuendelea kazi yake ya utangazaji na...
  9. the big fish

    JamiiForums Tanzania KWANINI GARI NYINGI ZINAZOTOKA JAPAN ZINAKUJA NA ILE NAVIGATION MONITOR LAKINI INAKUWA NA RAMANI ZA JAPANI NA HUKU BONGO NAONA KAMA HAZIZINGATII

    Kwema wanajamii forum, Moja kwa moja kwenye mada kwanini hizi gari zinatoka japan nyingi kama sio zote zinakuja na ile screen inakuwa na ramani za miji na navigations za japan kwa huku Bongo watu wengi hawazitumii na zinakuwepo tu kama pambo au kwa hapa bongo hakuna fundi wa kuwepa shapefiles za...
  10. the big fish

    JamiiForums Tanzania Bonyokwa; Kijana wa familia akutwa amejinyonga chumbani kwake, aacha barua

    Hio barua inasemaje kwanza
Back
Top Bottom