Hapo ndipo inapokuja changamoto. Iyo match ina changamoto kama ile ya jana, Bayern na PSG. Napoli anampumulia shakhtar, yani wakizingua tu kwenye iyo match wanaenda nje.
Mkuu, leo Man City anacheza, sasa odds kapewa nyingi sana kwenye mkeka bet. Sijajua ataweka kikosi dhaifu kiasi gani, ila naona kama bado wana upepo sana na kikosi chao ni kipana. Odds za UCL izo apo chini.
Habari ya uku wakuu? Leo nimeona niingie umu japo mara nyingi huwa naruka hii thread. Mimi napenda kubet online kwa kutumia mkekabet. Nina tabia ya kubet pia kwenye ile option yao ya jackpot bet ambayo kila wiki kunakua na huo utaratibu kama mara mbili ivi. Team zinakua 13, ukishinda team zote...
At the same time waandamanaji wanachoma maduka na kupora vitu, iyo ni ghasia. Haifanani na maandamano yanayofanyikaga hapa nchini. Hao watu wa raila sio wadai haki, ni wafanya fujo. Do you know how to deal with them? Any suggestions?
Mkuu, kwa kukusaidia tu uwe unatoa mifano, angalau kumi ili kuonyesha uzito wa point yako. Ila utambue kwamba kila proposal inayotolewa lazima iwe na makosa ambayo yakifanyiwa marekebisho then Project inakua na mafanikio. Tatizo anayofanya Magufuli yapo kisiasa zaidi, sio kwa maslahi ya wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.