Habari zenu ndugu , natumai nyote mpo poa ,
Natafuta marafiki wa kubadilishana mawazo jinsi yyt , kwa sasa nipo znz kibiashara ila dar pia nakuwepo ,
karibun nyote
Asalaam alaykum, habari zenu ndugu zangu.
Mimi ni msichana niliyejikita katika ujasiriamali. Napenda kuwatangazia ndugu zangu kwa waliokuwepo Zanzibar- Unguja nafanya biashara ya nyama kwa oda, nakuletea mpaka ulipo kwa bei nafuu kabisa. Malipo ni pale utakaporidhika na ubora wa bidhaa, oda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.