[emoji23][emoji23] ndo lingewahi nifikisha maana muda huo sidhani kama miguu ingeweza timiza hitaji la mbio nilizo dhamilia, na nisinge sahau kuwasha AC [emoji23]
"...aisee nilisikia nimesukumwa na nguvu isiyokuwa ya kawaida,ile nataka kuanguka chini nilimuona kiumbe wa ajabu ananipita kwa kasi ya ajabu akiwa uchi kama alivyozaliwa akikimbilia sebuleni na kuanza kuyafakamia yale makabeji kwa spidi kali mno,nilipokuwa bado naendelea kushangaa na kuhamaki...
Mi naona kikubwa atueleze wakamalia huwa analyze vipi, ili nasi tuone namna ya kumkamata kanji dizaini ye, ambavyo huwa ana mliza Msweden
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.