Recent content by Thanksmaster

  1. T

    Lissu anapaswa kumshukuru spika ndugai japo kwa hili

    Na aliyewaamuru watanzania wachangie matibabu ya lissu nani tumshukuru? Ambazo ni nyingi kuliko hizo za wabunge wafuga wasiojulikana...
  2. T

    Dreamliner Boeing 787 yaanza safari za nje, yapeleka nyama ya mbuzi Dubai

    Punda afe mzingo ufike. Hiyo ndo mbele kwa mbele
  3. T

    Rais Magufuli aitaka Polisi kusimamia uchaguzi, CHADEMA yahoji Tume ya Uchaguzi inakazi gani?

    Naumia kuona jeshi mpaka leo halijatoa ufafanuzi wa fununu kuwa kikosi maarumu cha ikulu kina raia wa kigeni wanaomlinda rais ! Je ni polisi wepi anaowatuma kudhibiti upinzan?
  4. T

    Amini usiamini, anguko la CCM laja. Ni 2020...

    Ccm ilishakufa imebaki kubebwa na dola hivyo bila dola hata leo ccm inazikwa, hivyo pale vyombo vya dola jeshi na mahakama vtakavyosimama upande wa hiki ndo utakuwa mwisho wa ccm
  5. T

    James Lembeli: Nimeshtushwa na kutekwa kwa mtoto wa dada yangu

    Wacha upepo upulize tuone nyeti za kuku! Ila wamuachie dogo wakuchukue mtu wao ... Ukaunge mkono vzr
  6. T

    Kama MO alipiga simu kwa Baba yake kwa kutumia simu ya Mlinzi tafadhali Mlinzi apewe BILIONI MOJA

    Watasema yote tuendelee kiwajambisha... Siku ukiwauliza mo alikuwa anakula chakula gani ? Wao watajibu alichokuwa anataka... Ndo utajua kumbe 1+1=11
  7. T

    Usiponifikisha kileleni sirudi tena

    Kileleni ni juhudi zako na maumbile yako kama yanaendana na ukubwa wa muhogo
  8. T

    Rais Magufuli ndiye huwa Rais mwenye mvuto zaidi pale Marais wa Afrika Mashariki wanapokutana

    Akaze buti afikie mvuto wa Idd Amini Dada kabla ya vita vya kagera
  9. T

    Boniface Jacob: Serikali iandae mahabusu za kutosha wana CHADEMA wote kwa sababu tunapanga kuandamana tena

    Uchawi unaruhusiwa siku ya maandambano polisi waharishe kwenda mbeleee na nyuki wawalinde waandamanaji
  10. T

    Kilichompata Andrew Mayalla Baba wa Pascal Mayalla kutoka Kwenye system (Wasiojulikana wanaotambulika)

    Andiko hili la kifezur mno nia ya mwandishi ni kupumbaza fikra mpya kwamba tuone eti kutekwa na kuteswa hata kuuawa ni jambo la kawaida ..... Shindwa in the name of JESUS
  11. T

    Nini tatizo la mwanaume na mwanamke wenye makundi ya damu ya Rh- kwenye kupata watoto?

    Mi nina group B rh negative na mke wangu ana group O positive mwezi wa sita huu toka nipo nae hajapata mimba, je inaweza kuwa inachangiwa na hili?
  12. T

    Ushuhuda: Hivi ndivyo nilivyoshuhudia maandamano ya Kinondoni na jinsi watu walivyopigwa risasi

    "I wishi I should be IGP" Na mshauri wa IGP ni Kagame.... What do u expect ?
  13. T

    Orodha ya watu /taasisi/Viongozi wanaotakiwa kulaumiwa kwa kifo cha Aquilina hii hapa

    Ni mmoja tu wa kulaumiwa aliyejitwalia mamlaka na kuongoza nchi kwa mtutu wa bunduki, mabomu na kuteka
Back
Top Bottom