Kaka Mtambuzi my hubby aliniambia unafaa kuwa wewe ni Event Manager mzuri sana, Protocol Officer, Waziri Wa Jf( Wizara ya Fedha, Wizara ya Habari na Utangazaji, Wizara ya Usalama wa Raia,)na hapa JF nakuona kama mtu muhimu sana katika fani ya sanaa. Sanaa kwa maana ya ubunifu fulani wa mambo...