Una Uhuru wa kujieleza, lakini hiyo orodha yako na sababu za vifo vya ulio wataja una hakika navyo?
Au na wewe unazungumza kwa sababu umesikia "wakizungumza"?
NI kweli watajwa hawapo/hatuwaoni, iwe wamekufa, wametoweka, au vyovyote vile, haupaswi kuzungumza jambo usilo na ushahidi kamili...
Mtoa mada kitu pekee ulichokisahau/kujisahaulisha ni kwamba kuna uhusiano mkubwa sana kati ya mahitaji uliyootodhesha (vitenge, chakula, maji n.k) na aina ya uongozi unaojengwa kwenye msingi wa katiba, ndiyo maana upatikanaji wa kiongozi/viongozi unafuata katiba na sio namna nyingine yeyote...
Lissu ameanza siasa zamani sana, kwa wanaomfahamu alianza kukinzana na Hayati Benjamin William Mkapa, enzi za uwekezaji wa madini ya dhahabu, (tafuta article inaitwa "The golden opportunity", utajua Lissu hakuanza kupigia kelele rasirimali wakati wa Hayati JPM, mara zote amekuwa against maamuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.