Naomba msaada wenu wadau katika kujua Programme sahihi zaidi katika vyuo vya Tanzania na uringo wa vyuo vya Africa Mashiriki lakini zaidi soko la ajira kwa Eastern Africa Zone.
Mimi mwenyewe ni mdau sana wa hio programme na nimesoma BSc Statistics. KCMC wanatoa MSc Epidemiology with applied Biostatistics, Muhimbili na SUA wanatoa MSc Epidemiology,kwa Makerere University wanatoa MSc Clinical Epidemiology and Biostatistics na Nairobi University wanatoa MSc Medical...
I am a graduate of BSc Statistics and I am so much interested in becoming the health researcher (Bio-statistician), I do seek the advice from professionals of health over two matters;
a) My suitability in the programme called MSc Epidemiology and Applied Biostatistics which is offered at KCMC...
Salaam..
Nadhani kuna kila haja ya kumpa Mhe Rais muda. Na la msingi zaidi ni wataalamu waliomzunguka wamshauri vyema katika kufikia malengo yake, Naamini kwa binafsi yangu kuwa Mhe ana nia nzuri ya kulifikisha taifa mbali katika sectors mbalimbali na zaidi ikiwa ni kuipaisha nchi mpaka kufikia...
Mimi ni kijana niliye hitimu katika shahada ya takwimu... Kwasasa Niko kijijini na nina mpango wa kuanzisha project ya ufugaji wa kuku wa kienyeji kibiashara Zaidi kwa mtaji wa laki nane... Naomba kufaham yafuatayo kupitia jamvi hili maridadi :
$ mambo sahihi na basic ya kuzingatia mwanzo wa...
Mimi ni kijana niliye hitimu katika shahada ya takwimu... Kwasasa Niko kijijini na nina mpango wa kuanzisha project ya ufugaji wa kuku wa kienyeji kibiashara Zaidi kwa mtaji wa laki nane... Naomba kufaham yafuatayo kupitia jamvi hili maridadi :
$ mambo sahihi na basic ya kuzingatia mwanzo wa...
Naamini hata Hayati JK Nyerere angelikuwepo leo tukamkabidhi nchi Watz tungeliishia kulalama..... Kwa maoni yangu: kwanza tukubaliane katka jambo moja 'as long as one is a human being, fragility is his /her virtue'.... Naomba tutegemee negativity zaid ktk maagizo na hotuba za Amiri jeshi...
Naamini hata Hayati JK Nyerere angelikuwepo leo tukamkabidhi nchi Watz tungeliishia kulalama..... Kwa maoni yangu: kwanza tukubaliane katka jambo moja 'as long as one is a human being, fragility is his /her virtue'.... Naomba tutegemee negativity zaid ktk maagizo na hotuba za Amiri jeshi...
I heartily thought we may have to take much time discussing about the prosperity of East Africa Region instead of competing on useless matters.... Let's change our mindset n stick on how we can unite n be one for flourishing our region both in social n economic platforms..... Au ndo mnataka...
I am a graduate of BSc Statistics and I am so much interested in becoming the health researcher (Bio-statistician), I do seek the advice from professionals of health over two matters;
a) My suitability in the programme called MSc Epidemiology and Applied Biostatistics which is offered at KCMC...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.