Habari za muda huu wanabodi
Ningependa kutoa rai yangu kwa taasisi inayoshughulika na maswala yote ya usafiri hususani kwenye barabara hii tajwa. Unakuta wenye magari mbali na kujua kwamba njia ni mbovu lakini wanajaza na kusimamisha abiria wengi sana.
Ukiangalia ubora Mdogo wa barabara hii...
Mostly zege is preferable because maintenance yake haipo as complicated as asphalt. And oil spillage which mostly affects the Tarmac can easily be controlled. But pia load transmission yake huwa inaishia kwenye zege pekee so it does not affect the sub base,sub grade and other layers. So for...
Hapana. Sio kweli. Unaweza tumia Asphalt concrete (lami) ambayo ni flexible pavement au ukatumia rigid pavement ambayo ni zege. Yote haya inategemea na consultation done na oesa iliyopo. Zikifanywa kwa ubira.. zote zinafaa.. kuna sababu kwanini inatumika zege ila sio hiyo uliyotaja
Allocating of special lanes specifically for BRT is one step. You need to have a civilized drivers in order to use such kind of lanes on the road.
On the other hand.. BRT is a system. . Independent system in the transportation mode. You can have it in separate infrastructure as in DSM or you...
Habari wana Bodi.
Nimeona ni vema nikiweza lisemea hili, labda linaweza toa ufumbuzi na unafuu kwa watu wengine pia.
Swala la manunuzi kwenye mitandao, inabidi litazamwe kwa jicho angavu maana kumekuwa na hali ya kutojali thamani ya pesa ya mnunuzi. Siku si nyingi niliweza kufanya manunuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.