Leo nimeimwaga rasmi Oil ya 20w50 kwenye baby walker yangu 1zzfe 1790 niliyoshauriwa kipindi choote na fundi wa chin ya muembe baada ya kusoma uzii huu mwanzo mwisho nimeweka total 5w30,,,nitawapa mrejesho chochote kitakachojili
Mwanzoni yalikuwa yanadondoka kawaida sikuwa na shaka sana, Ila sasa yaani yanadondoka mengi mpaka unakuwa kelo kwasababu eneo lote ni manyoya tu hadi kwenye chakula
Jamani poleni na shughuli na miangaiko ya siku, naomba kuuliza Jambo moja,nimejaribu kufatilia gari moja Aina ya Toyota fielder lakini Kuna vitu sijavielewa nimeiona Kuna engene tofauti tofauti MF DBA-NZE141G,DBA-NZE161 G,DAA-NKE165 G lakini zote 1490 cc hivi ni vitu gani na vinaelezea nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.