Ndio maana mtu unatakiwa sana kulinda moyo na akili visijeruhike, how? Mtu/binadamu anaweza badilika mda wowote so USIWEKEZE matarajio makubwa sana kwake.
Japo watu wazuri bado wapo lakini.
There is something fishy behind... Yaan kuna kautata flani hivi juu yake,
Either atakuwa yuko na family yaani kaoa ila anaona unafaa kuwa side chick mzuri baada ya kukupotezea mda au yuko serious na baby mama wake so anakuona kwa jicho la uside chick
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.