Recent content by Tetra E

  1. Tetra E

    Ligi Kuu Tanzania Bara: Kagera Sugar yaitandika Simba kwa magoli 2-1

    Ni kweli goli moja kagera wanaongeza
  2. Tetra E

    Inakuaje mdada ni flat screen halafu bado unangoja utongozwe?

    Mimi binafsi nawapenda sana flat kiliko hao ambao wewe unawapenda. Nadhani kila mtu ana kitu kimpendezacho ndugu
  3. Tetra E

    RECOD MENEGMENT

    Mzumbe wao wanaita Bachelor of Public Administration-Records and Archives Management (BPA-RAM), Utumishi wa umma wanaita Bachelor Degree in Records, Archives and Information Management na SUA wao wanaita Bachelor of Information and Records Management
  4. Tetra E

    RECOD MENEGMENT

    Si unajua kuna Mzumbe Campuses ya Morogoro, Mbeya na Dar es salaam
  5. Tetra E

    RECOD MENEGMENT

    Unaweza kwenda Mzumbe University campus ya Morogoro, Lakini pia unaweza kusoma course hiyo Sokoine University of Agriculture (SUA)
  6. Tetra E

    Msaada kwa anayefahamu kuhusu kusitisha udahili wa Open University na kuapply chuo kingine

    Habari wana jukwaa? Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu huria mwaka wa pili. Lakini nilikuwa ninasoma bila ruhusa ya mwajiri na nilikuwa ninasomea fan nyingine tofauti na ile niliyoajiriwa. Sasa mwajiri amenipatia nafasi nikasomee course yangu na mimi wakati ni mwanafunzi wa chuo kikuu huria...
  7. Tetra E

    Kubadilishana kituo cha kazi kada ya Records Management

    Habari wadau wa JF, Mimi ninafanya kazi Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo hapa Morogoro kada ya Record Management. Sasa kama kuna mtu wa kubadilishana naye aje moro mi nataka aidha Dodoma, Dar, na Tanga. 0679359094
  8. Tetra E

    Jf members

    Karibu!
Back
Top Bottom