Recent content by Terbinaffin

  1. T

    TTCL Internet kulikoni?

    Nami nawaza nihamie huko Sasa.
  2. T

    Klabu Bingwa Africa: Zesco yaichapa Yanga kwa magoli 2 - 1 na kuingia hatua ya makundi; Yanga kucheza mtoano kwenye kombe la Shirikisho

    Watoke tu. Na wakienda huko federshen watacheza gem zao mbili hom end awei watolewe na warudi hapa tupambane. Tuangalie mipango ya mwakani. Si wanajiona wao wanaweza mpira. Nyambaaf
  3. T

    Klabu Bingwa Africa: Zesco yaichapa Yanga kwa magoli 2 - 1 na kuingia hatua ya makundi; Yanga kucheza mtoano kwenye kombe la Shirikisho

    Nakushauri tu uandae Panadol mapema. Kwa sababu maumivu utakayopata jioni hayatakuwa ya kawaida.
  4. T

    Klabu Bingwa Africa: Zesco yaichapa Yanga kwa magoli 2 - 1 na kuingia hatua ya makundi; Yanga kucheza mtoano kwenye kombe la Shirikisho

    Unauliza kwa nini mlemavu anawekwa dukani hata kama hawezi kuhudumia wateja?
  5. T

    Watanzania waliopo nje ya nchi watapataje vitambulisho vya Taifa?

    Scramble ni kubwa kwenye hii web. Haipatikani
  6. T

    Viongozi wa sasa jifunzeni kutoka kwa komando Salmin Amour

    Mkuu nenda YouTube andika jina lake utapata baadhi ya hotuba zake
  7. T

    Unaweza kumuachia mke wako simu yako aitumie kwa siku nzima?

    Tangia Julai 2016 hadi sasa naweza kuacha simu kwa mke wangu. Lakini kutoka mwaka 2015 kuendea miaka ya nyuma sikujaribu kuacha simu kwa wife, hata bafuni tu nilienda nayo hasa kwa vile tafutwa tafutwa zilikuwa nyingi wakati huo.
  8. T

    Hivi lile goli la pili alilofunga Diatta dhidi ya Taifa stars lile shoot lilikuwa linatembea kwa speed ya Km ngapi kwa saa?

    Mikaeli Kabombe yule mtangazaji wa Azam TV anaitaje kombora kama hilo?
Back
Top Bottom