Recent content by Teonas Aswile

  1. T

    JamiiForums Tanzania Jana nimeshinda bila kula, leo sina uhakika naombeni kazi/kibarua nitakufa

    Habari Mkuu! Mungu ni mwema kila wakati! Hupaswi kukata Tamaa. Kama Juzi na Jana hazikuwa sawa, Leo ni Siku mpya na Kesho ina mapya pia. Naomba nitafute PM kwa akaunti hii hii uliyotumia ntakuwezesha ya kuishi wakati unaendelea kujipambania. Hata wenzio tulikuja Dar hatuna Ndugu wala Rafiki...
  2. T

    JamiiForums Tanzania DC Kibaha umeichoka kazi yako?

    Samahani kwa usumbufu Mkuu, Haya maneno yote unayotoa ni kwasababu Mheshimiwa Nickson kamkalisha Mwanae kwenye hicho kiti au kuna kingine? Kabisa Mkuu, Malaika huyo kukaa kwenye kiti kinachomsaidia kuwaza chanya, kunuia makubwa kwenye Maisha yake, kuamini anapaswa kupambana asimuangushe Baba...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Tunakikumbatia kiswahili saana. Mkutano mkubwa wa kimataifa watu wanataka kujua nini kinaendelea. Tafuteni wazungumzaji wa lugha ya kiingereza

    Mkuu TBC yenye TBC News ya Kiingereza kila siku Saa 4 Usiku TBC1 inakosa vipi Watangazaji wa Kiingereza kuwahoji wageni? TBC yenye Watangazaji kama Mussa Twangilo, Essero Mafuru, Fredrick Nwaka nk waliobobea kwenye masuala ya Afrika wanakosa vipi Watangazaji wanaoijua Afrika na Dunia kwenye...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Depression inanimaliza, sina muda mrefu wa kuishi

    Hongera sana Mkuu kwa kutokata Tamaa na kurejesha hamu ya kuishi! Vijana wenzio tunakuahidi kusimama nawe urejeshe kila kilocholiwa na Nzige katika Maisha yako. Mungu akujalie usimame tena na kutimiza Ndoto yako katika sekta ya Afya. Hakika utakuwa Mtaalamu Bora wa Afya kwa kuwa umepitia Maisha...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Depression inanimaliza, sina muda mrefu wa kuishi

    Mkuu natamani sana baada ya Ujumbe huu uliouandika nenda kahudhurie Msiba mmoja tu na uage sura ya mwisho. Itakusaidia kujua Mwanadamu akishalala haamki tena. Tuwapiganie wenzetu wakiwa hai kabla hawajapoteza hamu ya kuishi. Haikupunguzii chochote kumtamkia mema huyu Jamaa.
  6. T

    JamiiForums Tanzania Tusiime Holding inaweza kupigwa mnada kutokana na madeni yanayowakabili

    Mkuu naomba kwa Ridhaa ya Moyo wako simulia zaidi. Mapenzi yangu makubwa yako kwenye Kilimo. Nilianza kulima mahindi gharama Milioni 2 mavuno nikapata Milioni 1 na laki 1, Mahindi tena Milioni 2 na Nusu nikapata mavuno chini ya Milioni 1. Nikalima Mpunga Milioni 4 na kidogo nikapata zaidi ya...
  7. T

    JamiiForums Tanzania Hawa jamaa wa Iringa chini ya Producer Ambha walitisha sana

    Yuko hapa hapa Dar anaendeleza Harakati kwenye Taasisi kubwa tu. Muziki ndio hafanyi.
  8. T

    JamiiForums Tanzania Hawa jamaa wa Iringa chini ya Producer Ambha walitisha sana

    Naam Mheshimiwa Mjumbe. Ndiye!
  9. T

    JamiiForums Tanzania Hawa jamaa wa Iringa chini ya Producer Ambha walitisha sana

    Acha kabisa Broo, enzi hizo natoa hadithi zangu gazeti la Mwananchi, nikilipwa napeleka Pesa Studio. Ukisharekodi kumfikia Baba Wawili pale Ebony au DJ Fetty na wengine sio rahisi. Japo kwangu kilichonishinda 'Maisha yaliyo kwenye muziki' niliona siyawezi kabisa.
  10. T

    JamiiForums Tanzania Hawa jamaa wa Iringa chini ya Producer Ambha walitisha sana

    Ubarikiwe sana uliyeleta uzi huu. Umenikumbusha Maisha halisi niliyopitia Malangali High School. Nilirekodi wimbo mmoja kwa Amba -AB Records. Baadaye nikarekodi pia kwa Lamar akiwa karibu na Jengo la Yanga 'Fish Crab Cook out'. Nilibakia kuzisikiliza ndani nyimbo hizo. Nikaacha kabisa muziki...
  11. T

    JamiiForums Tanzania Video za uokozi maafa ya kariakoo

    Daaah huyu Jamaa lazima nimtafute nimpe riziki kidogo niliyobarikiwa kama asante kwake. Mbeba mizigo kuwa na Moyo Mkuu hivi ni zaidi ya Baraka. Hakika una moyo wa ajabu na Mungu akufanikishie Ndoto zako za Kimaisha.
  12. T

    JamiiForums Tanzania Kubeba majeruhi kwenye gari za wazi (Pickup) badala ya gari za wagonjwa (ambulance) kwenye tukio la kuanguka ghorofa K/Koo ni sahihi?

    Hakuna kitu KIBAYA Mkuu kama Tabia inayoshamiri ya kukatisha tamaa kila Jambo jema. Watu wameshinda Kariakoo wakifanya uokoaji toka Asubuhi. Ndugu yangu hujaona mazingira halisi, hujashiriki kusaidia, ajabu unakosoa kilichotumika kuwawahisha Hospitali. Kama hakukuwa na Ambulance karibu...
  13. T

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbunge Semuguruka Amlipia Deni Mkazi wa Iringa Aliyekimbiwa na Mke

    Hongera sana kwa Mheshimiwa Mbunge kumrudishia upya Furaha na Amani ya Moyo huyu Jamaa. Hakika nami natamani kukutana na huyu Jamaa kumtia Moyo zaidi. Namuona ni Mtu mwenye Maono makubwa na mafanikio siku za usoni. #BadoHatujaishiMpakaTukifanyaKituAmbachoTunayemfanyiaHaweziKutulipa
  14. T

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Huku niliko ni Saa 11 Jioni Mkuu.
  15. T

    JamiiForums Tanzania Nimepata msiba wa mwanangu wa pili, ana miaka 2

    Mungu akusimamie na akupe ujasiri wa kumsitiri Mtoto wetu! Pole kwako na Shemeji kwa msiba mzito. #WafuHawafiTenaBaliTulioHai Siku moja tutaungana na mwanetu
Back
Top Bottom