yaan mijitu kama hii ndo yakufuta kabisa huku jf manake inaakila ningekua na kibali niingeziita akili za chooni manake haya mambo ya huku yanaishia huku huku sas ww unachomchimba mwenzio mkwara nin kwanza we c chochote c lolote kwan ajira zipo nmb tu kwenda zako kafie mbele huku
unajikosha et...
mmmh kiukweli nipo mjini hapa na ni mmoja wa shortlisted lakin hata kwenda tu ckujickia japo najua fika kbsaa kukata tamaa c busara but kwa hili potelea mbaliiiiii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.