tutume wapi sasa? mbona kama unakimbizwa
Kwa akil hiz mkuu tayar hautokuwa shortlisted....
Mtu kasema tumen PM we waulza tena,soma mada uelewe mkuu wa kaz,nway i was kiddn arround we tuma nakutakia kila la kher zingatia umakini ktk mambo ako
Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
Kuuliza si ujinga.
pm ndo nini?
mwasibu awe na ordinary diploma? mmmm... labda karani .
mwadunda samahani nilidhani
kwamba ili uitwe mwasibu ni lazima uwe na cpa au utambulike na bodi
nyingine za kihasibu kama cima etc.
Kuuliza si ujinga.
pm ndo nini?
mwadunda samahani nilidhani kwamba ili uitwe mwasibu ni lazima uwe na cpa au utambulike na bodi nyingine za kihasibu kama cima etc.
Kuuliza si ujinga.
pm ndo nini?