Mbona nikisoma statement ya huyo waziri sioni akisema kama mleta mada alivyosema? yeye kasema huu uwe mwisho wa mataifa hayo mawili kushambuliana na si kuwa utakuwa mwisho wa Iran.
Ukipata wasaa sikiliza ujumbe huu toka kwa mtumishi wa Mungu...Imani ya kuachilia machungu moyoni. Natumai itakusaidia.
https://www.youtube.com/live/rQbJSVBR5Lc?si=Z4ghqDwQFHSetYNq
Unaposema kuwa huyo Mungu hayupo ni kwa vile unatumia akili yako kwa kuangalia udhaifu wa sababu za uwepo wake bado unakuwa haujathibitisha kutokuwepo kwake.
Hebu thibitisha kuwa huyo Mungu hayupo with vivid reasons.
Narejea maelezo yangu ya awali kuwa ushahidi wa uwepo wa Mungu kwa mujibu wangu ni imani inayokuwa backed na mazingira ya kidunia tuliyomo na yale ambayo wanadamu wameweza kuchunguza na kubaini.
Whereas wewe unataka kum comfine Mungu kwenye scientific methods ili uweze kubaini uwepo...
Huko anapopaita kila mahali ndiyo msingi wa mada hii kuwa pana extend hadi wapi? je kuna limit ya mahali..what lies beyond huo mwisho? Is it nothingness? If yes, how?
Huko anapopaita 'kila mahali' hata yeye hawezi kupathibitisha..itabaki imani tu kuwa papo ila hawezi kuthibitisha.
ujuzi wa uwepo wa Mungu kwangu unatokana na imani na ushahidi wa kimazingira wa vitu vinavyoonekana kwa jinsi vilivyopangiliwa kwa ustadi napata hitimisho kuwa fundi stadi aliyefanya yote haya ni Mungu tu.
Huo ushahidi wa uwepo wa Mungu kwenye uwanda wa imani, hauwezi kunielewa kama haujapata...
Kwa kifupi hayo maswali uliyojiuliza kamwe hauwezi kupata majibu kwa sasa. Ni mystery ambayo inathibitisha uwepo wa powers beyond humans.
Sayansi haina majibu kuhusu hayo na inafikia ukomo kama akili zetu tu...we can never tell what lies beyond the observable universe..
Mimi binafsi napata...
Umesali kwa muda gani kwa hao wasabato ili kuona kama mtizamo wako ni sahihi?
Maana huenda siku ulizohudhuria kulikuwa na mahubiri yaliyotokea agano la kale kutokana na mtu aliyeandaa hubiri alilitolea sehemu gani ya biblia.
Maana kila andiko la Mungu lafaa kwa mafundisho...haijalishi...
Mwili wako unasumbuliwa na chronic inflammation inayopelekea Kinga ya mwili kucharuka...ndiyo maana umepewa hizo immunosuppressants.
Kula vyakula vinavyoshusha inflammation ndani ya mwili...low carbs and sugars, ketogenic diet itakufaa.
Mwili utakaa sawa ukitoka kwenye hiyo chronic...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.