Hao ndiyo wanajeshi waliopewa dhamana ya kuilinda mipaka ya nchi yetu wanavyotutendea hapa Mtwara, inasikitisha kwamba watanzania tumekubali kupumbazika na hadaa za serikali ya ccm kusema kwa kujificha kwenye vyama. Hakika tunakaribia kuchoka na hali hii sasa tutaungana na waziri mkuu Pinda...
Watanzania tusidanganyike; HOJA iliyopo Mtwara siyo ya SIASA na mtazamo wa sisi wananchi wa Mtwara wote ambao tunaijua adha ya kunyanyasika kwa watawala wa nchi hii kwa miaka 52 tangu uhuru, Hoja ya uchama inapandikizwa tu na utawala wa CCM ili kuidhoofisha hoja ya msingi. Anayeteseka siyo...
Hayo ndiyo mambo na vijimambo vya ccm, wameamua kutufanyia unyama watanzania wenzao, Arusha munayo bahati kuwa mambo yenu yanatangazwa, lakini Mtwara wanatuua kimya kimya kila siku tunapigwa na kuteswa na vyombo vya ulinzi na usalama eti kwa sababu ya kutetea haki ya gesi
Kuua na kutesa ndizo sera mbadala ya serikali ya ccm, Mtwara nako vipigo kwa raia wema kutoka kwa jeshi la wananchi (JW) na Polisi vimeshamiri kila uchwao. kuna vifo na majeruhi wengi mno lakini vyombo vya habari vimekaa kimya. Heri yenu hata Arusha mambo yametangazwa
Sasa zimekuwa ndizo sera za serikali ya ccm, kila mahali wanapozuiwa kupora wanawaua raia kwa kuwatumia wanajeshi na polisi. hayo ya Arusha na Mtwara yanatisha zaidi, njooni mutuone tunavyopigwa na kuuawa na hao wanajeshi JW na Polisi Hakika hatuna nchi nzuri tena
Mambo yaliyopo katika Nchi yetu kwa sasa ni ya ovyo sana. Tunazungumza habari za Arusha kila wakati MTWARA kuna hali mbaya kuliko mahali pengine Nchini. HUKU wanajeshi wa Jeshi la wananchi wanasaidiana na Polisi kuwapiga Raia na baadhi ya raia wamepoteza maisha na wengi kuvunjika viungo vyao...
Ni vyema kama watanzania tutafunguka na kuwa na uelewa wa jambo la gesi ya Mtwara na kulijadili bila ushabiki. katika hali halisi tatizo la umeme katika nchi haliwezi kutatutuliwa kwa gesi kwenda Mtwara, kwa sababu siyo njia muafaka ya kupata ufumbuzi. Ukweli wa utatuzi wa tatizo la umeme ni...
Huyo Magufuli sasa amechoka Je umewahi kumsikia anazungumza chochote kuhusu kucheleweshwa kwa ujenzi wa kipande cha kilomita sitini cha Barabara Kibiti Lindi kwa miaka zaidi ya Minane sasa? Mbona kwa zingine anazungumzia!!!
Tatizo letu watanzania ni kutokuwa makini kwa kila jambo, tumekuwa ni watu wa kubabaisha babaisha mno hata mahali palipo na usahihi wa hoja, Tabia hii tunayoiendekeza itaendele kututafuna kwa karne nyingi zijazo isipokuwa tumejifunga mkanda kuondoa udhaifu wa watawala. NASEMA hivi kwa sababu...
Hakuna wakati ulio kuwa mgumu kwa ccm kama wakati huu, mahali ambapo ccm walipafanya kama pa kutagia mayai na kutotolea (Mtwara) pamekuwa siyo pao tena. Raia hawataki tena kusikia wala kuona kofia na ma-T shirt ya ccm kwa sababu wamebaini hawa jamaa ni walaghai
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.