Dem jambo dogo anaongea kama nini
Nisingeweza kabisa nilimjaribu kumwambia sina kiasi ambacho anahitaji kwa uwo wakati nimpime atasemaje baadae nakuta vn kwa watsapp kama nne ananilalamikia
Mwanzoni umeelimisha vizuri sana lakini wanawake siku zote awana mbadala kwenye swala linalohusu tendo
Penzi la mwanamke na penzi la awa poa lina interval kubwa sana kwenye ku enjoy itoshe kusema mwanamke asimame kuwa mwanamke kwenye tendo lakini awa poa uchafu na ni mwiko
Mkuu kwanza pole lakini hiyo ni STD sijui ulifanya uzinifu lini lakini tuache hayo
inaitwa genital herpes Mara nyingi husababishwa na maji maji na iwapo tu mtu unae shiriki nae tendo ana izo pia kwahiyo usipokuwa makini kwenye tendo au kutumia kinga kwa usalama ndio utokea hivo
Unaweza tumia...
Nakumbuka kipindi cha Easter mtoto flan anasoma hombolo dodoma tulikuwa tumepotezana kipindi tunasoma mbeya nikamuomba appointment mara ya kwanza alikuwa ana nata sana (anazingua) lkn mwanaume nikasema furesh
Siku kaja mjini kanicheki ile mnyamwezi nipo na geto safi nini nikapiga nae story...
Wakati wa Uvamizi wa Benkii nchini fulaniii majambazi waliwaambia kwa sauti watu waliopo Mule benki "Musisogeee hata kidogo maana Pesa ni mali za serikali ila uhai wako ni ni mali yako "
Basi kila mtu alilala chini kwa haraka na kila mmoja alikaaa kimya Hii inaitwa " KUMBADILISHA MTU AKILI "...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.