Nimenunua kifurushi cha 20000 maana yake ni Uhuru, lakini mbona nikienda kwenye baadhi ya Chanel zinagoma zinasema, this channel belong to Uhuru plz recharge, mini naana yake
Yaani ni kero balaa, sijui ni mgao au? Yaani hii nchi hapana mi sina tu uwezo wanakera mpaka basi, yaani mpk nadiriki kusema bora alieibua issue ya escrow asingefanya hivyo, wakati wa muhongo hii migawo ya hovyohovyo waliiacha,
Huu mji ni kero sio daladala tu ht wenye gari private unakuta kapaki barabarani anamuongelesha MTU, yaani in kero Huu mji hauna sheria, raia wanafanya watakavyo
Kazaliwa arusha/moshi? Kama kazaliwa huko no way, labda yasafishwe lakini yakisafishwa yanakuwa weak na anatakiwa arudie Mara kwa Mara, nasikia pia maziwa fresh akinywa kwa wingi yanasaidia
Mi wamenichosha yaani juzi nimenunua mud a Wa maongezi kwa mpesa,mpesa imeliwa simu hela hakuna,hy issue ya Kuwa hela unajiunga inagoma hlf unakuta hela yote hakuna ni kawaida sana,sijui mtandao umedata unachanganya na waliokopa,Nina maswali nakosa majibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.