Limtokalo mtu ndio limjaalo, pole Sana Mungu aitoe akili yako katika kuwwaza uchafu kama uo, sio kosa lako, pia inaonesha ni vitu vilivyotawala
Muafrika ni best race duniani, acha kijirazau, Ina maanisha ata ukoo wako ulitokana na mashetan, Mungu unaona watu wko wanavyokukana,
Afu Kuna kitu nkmekiobsevu kwa manesi wengi wamejaliwa jamani sura, mijengo ya atari ni Pata shika wakiwa wanatembea Ila Sasa, hawajatulia, mtanisamee manes
Naona jamaa yupo sahihi yeye ametoa ushuhuda tuu na sio kushinikiza watu waache kazi wakajiajiri, so hajampangia mtu maisha siku zote mtu ndio huamua aishi maisha gani, na Ata hao walioacha kazi ni walipanga wenyewe mkuu, nawakilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.