Recent content by Temba1

  1. Temba1

    Rasimu ya katiba mpya imeruhusu ndoa za jinsia moja?

    Mkuu, naona unajitahidi kuwa as strict as the Pope...lol. Any way... Tupo kwenye zama za kiliberali. Ngoja tuone viongozi wetu wa dini wanarespond vipi hapa Bishop Hiluka njoo humu... Masanilo, njooni mumpe mwongozo muumini wenu huyu...
  2. Temba1

    Mzee ndesa na Godbless Lema kuwaaga makamanda Chadema SAUT leo

    Karibuni mtaani kwa mapambano zaidi makamanda...
  3. Temba1

    Warembo wasome hapa tafadhali

    Sidhani kama hii ina ukweli wowote... Yani drier iunguze hadi kupasua fuvu wakati ngozi na nyama vilikuwa havijaungua! Nimechemsha sana supu, najua nyama zinaiva kabla mifupa haijalainika...
  4. Temba1

    Rasimu ya Sera ya Gesi, Maoni yangu ya awali

    Mkuu nashukuru kwa kuiweka hii part hapa... Lakini mbona ni introduction tu mkuu? Haijaonyesha methodology wa modality... Binafsi I want to see numbers, I want to see percentages? Wanaposema to benefit local community, swali ni how? Kwa asilimia ngapi? na ya nini? Mapato? ajira? Uwekezaji? au...
  5. Temba1

    Zitto leo ndani ya Tabora Mjini, kufungua matawi katika kata zote.

    Hingera sana kamanda Zitto... Tangu Mabere atuahidi pale Kibaha kuwa wataanza kuzunguka kijiji kwa kijiji katika kanda ya Mashariki na Pwani, bado sijawasikia wakitimiza azma hiyo... Please wakati ni sasa, kwa hapo Dar/Pwani sidhani kama mnahitaji hata perdiem...
  6. Temba1

    Zaidi ya milioni 30 za kumuaga Nape Mnauye Masasi Zatafunnwa na wajanja.

    Hao waliochangisha hebu wapitishe mchango mwingine kujenga nyimba za walimu tuone kama watapata millioni 30...
  7. Temba1

    Rasimu ya Sera ya Gesi, Maoni yangu ya awali

    Sawa mkuu... Nadhani tumepata pa kuanzia, na naamini serikali itachukua maoni yako. Ingawa mimi sio mtaalamu wa masuala ya gesi, lakini in a layman language naomba nitoe maoni machache; 1. Tuliambiwa kuwa gesi iliyokwisha kugundulika hadi sasa ina thamani ya zaidi ya $490bn. Hizi ni zaidi ya...
  8. Temba1

    Hali ya Mtwara mchana huu

    Hivi 2015 CCM itatokea mkoa gani? Labda dodoma...
  9. Temba1

    CHADEMA watoa ratiba ya kampeni za udiwani jijini Arusha

    Ila ni jumla ya kata 26 nchi nzima kama sijakosea. Naomba kujua na mpangilio katika kata zingine, maana CCM haitakiwi kuachiwa hata kata moja... Japo wapiga kura ni wale wale wa 2010, kwa maana kwamba daftari la wapiga kura halijawahi kuboreshwa...
  10. Temba1

    CHADEMA watoa ratiba ya kampeni za udiwani jijini Arusha

    Natamani kama madiwani 4 hivi hapa mjini kwetu nao wajiuzulu ili tupate uhondo wa hiyo timu, maana hadi nawaonea wivu wana Arusha. All the best makamanda...
  11. Temba1

    BOMU LA ARUSHA, Kuna uwezekano mkubwa ni bomu la kisiasa kujenga chuki kati ya wananchi na serikali

    Mna polisi, inteligensia na jeshi. Sasa iweje mkae mnanalalamika ovyo huku jf kama sisi. Wakamateni sasa, mtuletee na ushahidi mseme hawa hapa wanataka kuchonganisha wananchi na serikali. Sasa polisi wanalipwa mshahara wa nini kama nao Wnakaa kulalamika huku jf?!
  12. Temba1

    Kheri yenu Masilingi na Dr. Kamala, Karamagi yu wapi?

    Kwani balozi Ngaiza ni marehemu? Au unamuongelea ngaiza yupi?
  13. Temba1

    Mbowe ashuhudia ‘maajabu ya elimu ya Tanzania’ jimboni kwake

    Kwa hiyo hapa unataka kusema nini labda? Kwamba kwa kuwa yeye ni mbunge wa hilo enep basi aanze kukusanya kodi huko Hai ili awajengee nazo madawati? Maana ingawa yeye ni mbunge, TRA ndiyo inayokusanya kodi HAI na kuikabidhi kwa serikali ya CCM, ambayo ikishanunua mashangingi, ikishalipana posho...
  14. Temba1

    Clouds FM wamburuza mahakamani Lady JayDee, kesi yapigwa kalenda hadi Mei 27...

    Na ukizuiwa wewe hata mimi ntasema...lol
  15. Temba1

    Clouds FM wamburuza mahakamani Lady JayDee, kesi yapigwa kalenda hadi Mei 27...

    Kila chenye mwanzo kina mwisho... Probably ubabe wa wawili hao katika muziki wa kitanzania unafika mwisho...
Back
Top Bottom