Kwa mujibu washeria za kibashite ibara ya 1 kipengele kidogo cha kutokomeZA upinzani.
Iwapo utabainika katika vipimo vya mkojo ,damu kuwa kuna element za uchochezi,upinzani ,chuki dhid ya ccm moja kwa moja itakuwa kosa na huruhusiwe kutoa kwa kupenda au kwa lazima damu au mkojo wako utahesabika...
Mim nachofanya maze in account mbili kwa broker mmoja kwakua broker anaruhusu internal transfer natrade nkipata faida na nafanya transfer ya faida, natrade tena alafu nkipata profit nahimisha, kwenye forex pia kuna kupanda na kushuka pale inashuka nafanya sell baada ya kuconfirm bullsh na bearsh...
Napenda niwaaMbie hats hao walioibobea forex wanaingiaga hasara sana pamoja na kuwa wataalamu analysis lakin wakalost, forex ni biashara ya chap chap ukipata faida closed, nimeona nimepata short nikajifunza now naingia kwa dakika kaza na kuclose with profit
Kwa wataopenda kufahamu na kutrade easy mnaweza nifata telegram Brownfx
Nitajibu swali na uzoefu wangu ntautoa pia. Na signal kwa wataohitaji pia ntaprovide at a time inaprofit
aLot size na leverage zinaweza kuwa na faida sana na risk kubwa na wengi wanaotumia lot kubwa no naked trader ambao wako wanaingia kwa dakika 1,2,mpaka 10, naked trader yeye afati indicator,news anafata market kwa wakati ipoje akijua IPO katika sell time anafanya sell akijua IPO buy time anabuy...
Ili jambo kama lina endana maana nakumbuka kuna house girl WA mtaa WA pili alishikwa pepo wakawa wanamshika sana jamaa mlevi akasema dawa yako naijua akaenda mahali ngurue kafungwa kanya akachukua mavi alafu akarejea na kumwambia yule binti we pepo toka ukuje kula mavi ya ngurue ,ilichokipata mi...
Ongezea na huyu
Bundi LA simbawanga.
Huyu ndie kiumbe che heshima za kijeshi zaid kilichokua kikitumika kama rada na pia kuwa kama GPS ya sumbawanga .
Mwaka 1995 kiliweza kupiga king'ora take katika paa LA ikuru na kusabisha mheshimiwa kuondolewa haraka maeneo yaliokua yakitarajiwa kuvamiwa...
Why mi am trading without reading hug books jf wangeruhusu ningewapa screen shoot za accountvyangu Jana before market I close kuna signal zinauzwa we unafata maelekexo tu nunua au Uza. Hao success wanaset market
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.