Ila wanasemaga wahenga kwamba msema pweke hushinda, mambo ya family matters ukiyaingilia unaweza kuta unatetea side isiyo sahihi..
Kwanini ulikuwa unapiga mwanamke...
Miaka kadhaa nyuma kuna kanisa maeneo ya kibamba hospital nikiwa mmoja wa waumini tuliambiwa tulinomoe na walitupa muda na tilufanya hivyo sasa hawa mashehe wanakaza nini maana wakati wanajenga waljkuwa wanajua lakini!
The majority of shareholders, kaongea nao na kama unavyojua shareholders ndio wamilik wa kampuni, labda maana inakuwa kwamba preference shareholder ndio wenye kauli kubwa kwenye kampuni kuliko ordinary shareholder!!
Ila nashangaa kama itakuwa ni kweli serikali iongee na ordinary!!?
Na mimi pia sijapenda kwamba mtoaji taarifa (msamaria mwema) anatajwa kweli mimi hata nikiwaona watu nisio waelewa sitoi taarifa. Maana aliyefanikiwa toroka kama ameona hii post akiamua kudeal na jamaa si ndio shida hii sasa!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.