Recent content by Tegwa

  1. T

    Biashara ya Uchawi Tanzania

    Mchawi ni maarifa(ujuzi)yoyote ambayo ni amaizing kwa wengine ila unatofautiana mifumo tu ya utendaji kazi wake. Uchawi umegawanyika katika mifumo ifuatayo 1.UCHAWI UNAOHUSISHA IMANI 2.UCHAWI USIOHUSISHA IMANI Kila mfumo unacategories zake,kama unaelemu ya makaratasi itumie kujiuliza uchawi...
  2. T

    Wenzetu mnapataje ajira? tunaomba ushauri

    Inasikitisha sana kwanini utumia muda wa miaka kadhaa kwa kujiandaa kuwa mtumwa wa mtu kwanini usijitume wewe mwenyewe
  3. T

    Mahekalu ya maaskofu kufuru

    Maisha ndio haya poteza muda wako kuangalia fulani kafanya hivi.Kama unaona ni mafisadi acha kutoa sadaka yako wewe na familia yako pamoja na ndugu na jamaa zako ili kusudi wakome
  4. T

    Nokia xl inatafutwa

    Pia na mimi natafuta nokia 6300 made in hungary or fineland
Back
Top Bottom