Wenzetu mnapataje ajira? tunaomba ushauri

Wenzetu mnapataje ajira? tunaomba ushauri

Nimeelewa kumbe watu hawachambui vya mana ktk usomaji,ndy mana yale magazeti ya yule jamaa anauza sana.mwandishi ana kitu cha maana aliandka hapo,mtu mwenye akili ataelewa tu nini was needed ,watu wachache wenye busara!!! But majibu baadhi yenu so educative!!!!




Upo some how right, some how wrong. Ni kweli ndani ya maneno yake yamo maneno ya kweli, lakin kakosea namna alivyo Present the whole issue. Maneno yake yanaonyesha hayupo Serious. Huyu mimi namuona hana shida hasa ya kazi, anafanya masihara, na hii ni moja yabsababu kwann labda kweli mpaka sasa hana kazi. Nashauri awemAkini, hasa kwenye mambo ya Msingi. Kwa namna alivyo present hii ishu, hata kama kungekuwa na mtu kweli humu wa kumsaidia, asingefanya hivyo.
 
Your not serious, endelea tu na shughuli unayofanya.. Usitafute Ajira maana hautapata.
 
Nimemalza chuo miaka 8 iliopta profesionally as urban plan,then 5 yrs badae did postgrdt BA ifm, my life marA zote hz nimekua nimeajiJiri mitaani,

kwa sasa nmeona vyet vyangu vmekua not productv kw mana vmekaa tu na ni vyet vyA ukwl Je kwa uzoefu mlioajiriwa na wengneo vp naweza pata ajira mahal, kama vile ministry of land na fonancial instution?

leten maushauri !!

Mashauri gani? Hapa pana waajiri sasa hiyo ati ya uandiashi wako huenda ukasubiri sana kidogo. Sifikiri utawashawishi hao waajiri

Kwa uandishi huu, ningeshangaa kama ungekua kazini, rudi darasa la pili B ujifunze kuandika....

Vyema sana kwa kuliona hilo, kweli kazi kupata kazi na uandishi huo wa bwana siju bibi mipango miji ipoooo kaaaazi.
 
So you tell me that,the employers seek language knowhow and not the technical knowhow??

First impression last...looonger hata kama una phd na masters 2 ila kwa uandiashi huo....come on guys ninani atakufikiria tu mbali na ajira?
 
Embu rudia tena kuandika nini unatafuta pengine nikakuelewa,kwa hili bado sijaelewa unatafuta nini.
Hovyoo!!
 
Dah hayo maandishi ni hatari mzee, inaonyesha hauweki effort hata kidogo kwenye mambo yako, hakuna atakayekupa kazi kwa staili hiyo, anyway hauna experience ya kazi unazo apply?

Bandika VC unayotumaga kwa waajiri, futa jina lako kama unaogopa watu kukujua. Tutakusaidia kuiweka freshi.

Nahitaji uniweke poa CV yangu kaka
 
Haupo serious Kazi utapata bila kuomba inaonekana hujishugulishi kuomba unafikiri watakuja kukufuata nyumbani twende ukafanye Kazi utasubili sana mpaka utazeeka .
 
Watu wenye busara kama wewe wachache sana mkuu,kama ntarudi toka kigali ntafanya ulosema kaka!! Kuna wadau wametumia lugha kali sana!!najua most of them ,they r stranded!!ila nikirudi ntawatafuta ...waje waone mambo yangu lazma ntawapa kazi hapa kigoma miongoni mwao!!
 
Inasikitisha sana kwanini utumia muda wa miaka kadhaa kwa kujiandaa kuwa mtumwa wa mtu kwanini usijitume wewe mwenyewe
 
Back
Top Bottom