Habari
Nauza vitu vifuatavyo vina upya wake na kila accessories zake zilizokuja navyo kutoka dukani
Samsung Smart Flat Screen inch 40 kwa Tshs. 1.3M
Fridge westpoint kwa Tshs. 650,000/=
Microwave kwa 150,000/=
Mwenye Uhitaji naomba nicheck inbox tufanye biashara napatikana Dar es salaam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.