Nahitaji vifaa vya mazoezi ya kujazia mikono

Misuli mikuu ambayo watu huwa wanaexercise mikononi ni Biceps (front) na Triceps (back)...kwa hiyo google biceps exercises, triceps exercises, arm exercises...zitakuja nyingi tu na vifaa unavyohitaji!!
Shukrani mkuu
 
A
mimi nataka niwe napiga 100 per day

It means nitaona improvement kwa muda wa mwezi sio?
mimi nataka niwe napiga 100 per day

It means nitaona improvement kwa muda wa mwezi sio?
Cha msingi hapo toa wazo kwamba baada ya mwezi ntakua na mikono na kifua kikubwa, futa hilo wazo cha msingi ni wewe kuweka bidii kwenye mazoezi then mwisho wa siku mabadiliko utayaona tu.
 
Wakuu nahitaji vifaa vya mazoezi ya kujazia mikono nitapata wapi na kwa sh ngapi?
Andaaa kama kalaki hivi mkuu.

1. Nunua kamba kwa ajili ya kuruka utajenga pumzi, kujenga nguvu za mikono na kubalance mwili
03cf09885f63bc82c2b5de068795045a.jpg


2.Resistance springs , hivi zinakata mwili n kuujaza piaa, inajenga muscle fasta, unaweza zitumia kwa ajili ya kifua, mikono n miguu pia.
423d9e466a07d872ade9b720c67f65e7.jpg
e6eaf1e7280c614cf8d076553a6b69f1.jpg


3.Tafuta rola yako , kujenga Core , abs na mgonga pia, utaipenda matokeo yake ukijua kutumia dude.
23a947206144057de2597c30bda92dc4.jpg

4.Ukiweza kupata taili kubwa, zito flani. Ili unabigirisha inajemga sana mikono na stamina. Unaweza lichezea pia kama wafanyavyo watoto unakimbia nalo safi sana. Ukikosa hilo ,tafuta gunia kubwa Jaza mchanga then una ribingilisha utakubali mziki.

5. Tools za kupigia Push ups, kama hupendi kujenga sugu za mikono, au nakozi nunua hizo.
33dd4f6aac79ab15a535297f57079b36.jpg


Hizi ni some tu, na la ziada ukipata sehemu ukafunga chuma ukawa unapiga PULL UPS, siku tatu utaona mziki ulivyo.

Karibu kwa ushauri zaid.......
Chakula n.k
Baadhi ya picha check chini.

Note , usipende sana kubeba chuma hivi vya kitaaaa, nenda kwny vile vyenye uzito uliobalance vizuri kama kufanya



home hupendi
e67763cd166e875970797ae8900280fd.jpg
95573dc68bb33911006843305ae6a7cc.jpg
 
Andaaa kama kalaki hivi mkuu.

1. Nunua kamba kwa ajili ya kuruka utajenga pumzi, kujenga nguvu za mikono na kubalance mwili
03cf09885f63bc82c2b5de068795045a.jpg


2.Resistance springs , hivi zinakata mwili n kuujaza piaa, inajenga muscle fasta, unaweza zitumia kwa ajili ya kifua, mikono n miguu pia.
423d9e466a07d872ade9b720c67f65e7.jpg
e6eaf1e7280c614cf8d076553a6b69f1.jpg


3.Tafuta rola yako , kujenga Core , abs na mgonga pia, utaipenda matokeo yake ukijua kutumia dude.
23a947206144057de2597c30bda92dc4.jpg

4.Ukiweza kupata taili kubwa, zito flani. Ili unabigirisha inajemga sana mikono na stamina. Unaweza lichezea pia kama wafanyavyo watoto unakimbia nalo safi sana. Ukikosa hilo ,tafuta gunia kubwa Jaza mchanga then una ribingilisha utakubali mziki.

5. Tools za kupigia Push ups, kama hupendi kujenga sugu za mikono, au nakozi nunua hizo.
33dd4f6aac79ab15a535297f57079b36.jpg


Hizi ni some tu, na la ziada ukipata sehemu ukafunga chuma ukawa unapiga PULL UPS, siku tatu utaona mziki ulivyo.

Karibu kwa ushauri zaid.......
Chakula n.k
Baadhi ya picha check chini.

Note , usipende sana kubeba chuma hivi vya kitaaaa, nenda kwny vile vyenye uzito uliobalance vizuri kama kufanya



home hupendi
e67763cd166e875970797ae8900280fd.jpg
95573dc68bb33911006843305ae6a7cc.jpg
Mkuu hiyo resistance spring bei yake ikoje na matumizi yake kwa ujumla
 
Piga push ups nyingi, na lift ups. Kila push up inakazi yake na lift up inakazi yake.
Lakini ni vizuri ukianza haya upige na mazoezi ya miguu ili ubalance kuondoa hatari ya kua John Bravo.
 
Mkuu hiyo resistance spring bei yake ikoje na matumizi yake kwa ujumla

Hivyo vifaaa vyote na zaidi vipo Game Mlimani City, mimi nna mini-gym nyumbani na kila kitu nimenunua pale. Badala ya kuuliza bei kwa watu, nenda kafanye window-shopping, utaona different alternatives na bei zake, then ujipange kutokana na mfuko wako!
 
Hivyo vifaaa vyote na zaidi vipo Game Mlimani City, mimi nna mini-gym nyumbani na kila kitu nimenunua pale. Badala ya kuuliza bei kwa watu, nenda kafanye window-shopping, utaona different alternatives na bei zake, then ujipange kutokana na mfuko wako!
Mkuu kwa sh elf 50 siwezi kupata vifaa vya kujazia mikono?
 
Ushauri wangu piga push up kila asubuhi unavyoamka kama utaweza piga jioni ila sio lazima sn
Katu usibebe chuma mtaani labda uende gym na itapendeza kama utapimwa uzito, presha nk kujibebe mavito hovyo kuna madhara
Na push up sio lazima 50 kwa siku kwakuwa unaanza, anza taratibu piga hata 15 kesho yake piga 20 kesho yake 30 nk yani mwili upokee mabadiliko taratibu
Nk: kupiga push up nyingi kwa siku sio ndio kujazia utajiumiza bure maana umesema unataka kupiga 100 kwa siku, alafu usisahau na mazoezi mengine ya kukimbia na mazoezi ya viungo
 
nilianza na push up 20,baada ya muda nikawa napiga 30,kwa sasa napiga 50.mikono na mabega,shingo vyote vimeongezeka ,halikadhalika na kifua pia,chakula cha kujenga mwili ni muhimu
 
Ushauri wangu piga push up kila asubuhi unavyoamka kama utaweza piga jioni ila sio lazima sn
Katu usibebe chuma mtaani labda uende gym na itapendeza kama utapimwa uzito, presha nk kujibebe mavito hovyo kuna madhara
Na push up sio lazima 50 kwa siku kwakuwa unaanza, anza taratibu piga hata 15 kesho yake piga 20 kesho yake 30 nk yani mwili upokee mabadiliko taratibu
Nk: kupiga push up nyingi kwa siku sio ndio kujazia utajiumiza bure maana umesema unataka kupiga 100 kwa siku, alafu usisahau na mazoezi mengine ya kukimbia na mazoezi ya viungo
pia si rahisi kupanda toka 15 hadi 50 kwa haraka hivyo,inahitaji muda wa uvimilivu na diet
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom