Hakuna biashara hapo,hauwezi ukawa unahitaji kitu halafu unataka wauzaji ndo waje na bei zao,weka dau lako mtu akivutiwa na ofa yako atakutafuta,me nipo manyoni nina mashine ya kukamua alizeti shudu kwangu siyo shida,lakini siwezi kukutangazia nauza kiasi fulani,
Mtoa mada naona umeamua kufanya promo ya machimbo ya utelezi ili wana wakikatiza pande hizo waende kujisevia,naona umetoa locationi,naomba kuongezea,ukifika mbeya nenda carnival na City pub utawaokota wa kutosha,ukienda moro pitia msamvu,au Paris,mwanza wa bei cheap nenda mtaa wa...
Kwa yeyote anayejua soko la chupa take away K vant, konyagi, henken, Windhoek,bavaria,badwiser,dompo na aina nyingine yoyote anisaidie connection kwani ninazo za kutosha tatizo soko,0759656557/0775358586
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.