Recent content by teetotaller

  1. teetotaller

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    chelsea 0:1 Atlc Madrid 2:2 inter 3:0 lille 2:0
  2. teetotaller

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    nenda kwenye paybill kalipie huko
  3. teetotaller

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    mkuu nipe code nipite nayo
  4. teetotaller

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    kila nikiiweka inanigomea, nakosea wapi?? au ishahakiwa?
  5. teetotaller

    Meridianbet kama mpo humu boresheni huduma zenu mnakera

    pesa yangu ipo reserved tokea tarehe 3 haijarudi kwenye account ya merdianbet mkipigiwa hampokei, hela zetu mnakula ila nyie mkiliwa mnasumbua kutoa uzi tayari
  6. teetotaller

    Xiaomi vs Oppo nichukue ipi?

    mimi wa Oppo A83 mwaka wa 3 huu nicomment wapi?
  7. teetotaller

    Nitajie aina ya Simu, laptop, camera, iPad nikuagizie kwa gharama zangu. Utalipia mzigo baada ya kufika

    Machine ya bakery Kwa biashara nahitaji bei, ya kukanda, kuoka na kukata
  8. teetotaller

    Leo nimetimiza miaka 15 ndani ya JF

    Mimi mwaka 2024 natimiza miaka 10....kongole kwako mkongwe
  9. teetotaller

    Nataka kumuoa kabla ya Ramadhani, yeye anataka mpaka mwezi wa kumi

    Muoaji ndie mwenye kujua aoe siku Gani na sio muolewaji, kwakifupi ni hataki kuolewa na wewe jiongeze
  10. teetotaller

    Ifikie hatua tuwe tunaambizana ukweli kabla hatujafunga ndoa

    Mwambie atembee na mafuta Kuna siku yatamsaidia,asidhani ni sifa kula wake za watu
  11. teetotaller

    Ifikie hatua tuwe tunaambizana ukweli kabla hatujafunga ndoa

    Itoshe kusema, kuomba omba nayo ni hulka ya mtu mwenyewe, yawezekana akawa anapewa hivyo vitu na bado anaomba
Back
Top Bottom