Recent content by teelyz

  1. teelyz

    Natafuta kazi

    Mimi binti wa miaka 23 natafuta kazi ya kuuza duka,Supermarket,Hotel au mgahawa. Niko Bagamoyo lakini nipo tayari kufanya kazi popote. Au hata mdhamini anidhamini mtaji tuelewane tu jamani maisha magumu
  2. teelyz

    Nani Valentine atakuwa single kama mimi

    Ni hela hiyo au??? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. teelyz

    Nani Valentine atakuwa single kama mimi

    Valentine umepanga kufanya nn?? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. teelyz

    Nani Valentine atakuwa single kama mimi

    Lol just a second day without sex and your proud of it [emoji3][emoji3][emoji3] Sent using Jamii Forums mobile app
  5. teelyz

    Nani Valentine atakuwa single kama mimi

    Asante ubarikiwe Sent using Jamii Forums mobile app
  6. teelyz

    Nani Valentine atakuwa single kama mimi

    Tuje hapa tupange mikakati ya kupata hela zaidi Sent using Jamii Forums mobile app
  7. teelyz

    Nampenda ila simuelewi

    Yani ungevaa viatu vyangu ungejua sababu kila nikitaka kumove on inashindikana yeye hata mkigombana mwishoni atakwambia nakuhitaji sitaki nikupotezee,sijui hata nikuelezaje but inachosha Sent using Jamii Forums mobile app
  8. teelyz

    Nampenda ila simuelewi

    Habari za jioni wa jf,kwakweli wengi mmetoa ushauri wenu japo wengine mmetumia maneno makali pamoja na yote ujumbe umefika,Asanten wote mlioguswa Mungu awabariki nawapenda. kiukweli leo nimeitumia sana kujitafakari mpka nikapata majibu kumbe mimi pia nina umuhimu na hisia zangu zinaumuhimu, The...
  9. teelyz

    Ni ngumu mwanamke kufanya ngono na rafiki yake wa kiume

    As i said haikuwa proper sex coz mimi ckuvua nguo na yeye pia alivua tu shati la juu yani it wasn't a sex but we tried Sent using Jamii Forums mobile app
  10. teelyz

    Ni ngumu mwanamke kufanya ngono na rafiki yake wa kiume

    It wasn't a proper sex yani ilikuwa tu ni sex sex ykijinga kijinga beside nadhani ni ile tu tulikuwa too much kwny urafiki na hatukutaka kupoteza urafiki wetu,coz we talked Sent using Jamii Forums mobile app
  11. teelyz

    Ni ngumu mwanamke kufanya ngono na rafiki yake wa kiume

    Nna rafiki angu wa kiume ni rafiki close kabisa yani yule crayz friend alikuwa anakuja kulala kwangu kila ijumaa anaondoka jpili,na mimi hivyo hivyo yani tunapeana tu zamu ijumaa hii kwangu ijumaa hii kwako,yani mpka mpenzi wake walikuwa wanagombana kwa ajili yangu afu mimi tena ndo nakuwa...
  12. teelyz

    Wanaume hawatabiriki

    One thing for sure mwanaume akiamua kukupenda na kukuheshimu atafanya hivyo asipoamua basi haitakuwa hivyo, unaweza kukutana na mwanaume leo ukalala naye kesho na bado atakuheshimu na kukupenda kwa kipindi chote cha mahusiano lakini pia unaweza kumfanya asubiri hata baada ya miezi au mwaka ndo...
  13. teelyz

    Rafiki wa kishua anaibiwa

    But ni ukweli tho,ila mwanaume awezi kukotrol maisha yangu sababu ya maumbile yangu Sent using Jamii Forums mobile app
  14. teelyz

    Rafiki wa kishua anaibiwa

    Lol Sent using Jamii Forums mobile app
  15. teelyz

    Rafiki wa kishua anaibiwa

    But hakuna chochote cha zamani btn you and me,sorry kama pia bado sijakuelewa Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom