Mimi binti wa miaka 23 natafuta kazi ya kuuza duka,Supermarket,Hotel au mgahawa.
Niko Bagamoyo lakini nipo tayari kufanya kazi popote.
Au hata mdhamini anidhamini mtaji tuelewane tu jamani maisha magumu
Yani ungevaa viatu vyangu ungejua sababu kila nikitaka kumove on inashindikana yeye hata mkigombana mwishoni atakwambia nakuhitaji sitaki nikupotezee,sijui hata nikuelezaje but inachosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za jioni wa jf,kwakweli wengi mmetoa ushauri wenu japo wengine mmetumia maneno makali pamoja na yote ujumbe umefika,Asanten wote mlioguswa Mungu awabariki nawapenda.
kiukweli leo nimeitumia sana kujitafakari mpka nikapata majibu kumbe mimi pia nina umuhimu na hisia zangu zinaumuhimu,
The...
As i said haikuwa proper sex coz mimi ckuvua nguo na yeye pia alivua tu shati la juu yani it wasn't a sex but we tried
Sent using Jamii Forums mobile app
It wasn't a proper sex yani ilikuwa tu ni sex sex ykijinga kijinga beside nadhani ni ile tu tulikuwa too much kwny urafiki na hatukutaka kupoteza urafiki wetu,coz we talked
Sent using Jamii Forums mobile app
Nna rafiki angu wa kiume ni rafiki close kabisa yani yule crayz friend alikuwa anakuja kulala kwangu kila ijumaa anaondoka jpili,na mimi hivyo hivyo yani tunapeana tu zamu ijumaa hii kwangu ijumaa hii kwako,yani mpka mpenzi wake walikuwa wanagombana kwa ajili yangu afu mimi tena ndo nakuwa...
One thing for sure mwanaume akiamua kukupenda na kukuheshimu atafanya hivyo asipoamua basi haitakuwa hivyo,
unaweza kukutana na mwanaume leo ukalala naye kesho na bado atakuheshimu na kukupenda kwa kipindi chote cha mahusiano lakini pia unaweza kumfanya asubiri hata baada ya miezi au mwaka ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.