Habari za jioni wa jf,kwakweli wengi mmetoa ushauri wenu japo wengine mmetumia maneno makali pamoja na yote ujumbe umefika,Asanten wote mlioguswa Mungu awabariki nawapenda.
kiukweli leo nimeitumia sana kujitafakari mpka nikapata majibu kumbe mimi pia nina umuhimu na hisia zangu zinaumuhimu,
The...