Recent content by Tebajanga

  1. Tebajanga

    Jitengenezee Streaming Server (Kama Netflix) Local (ya Nyumbani Kwako) [Tutorial]

    Mkuu leh umetoa madini safi sana. Kwa kuongezea, mbadala wa Plex kuna application nyingine inaitwa Jellyfin ambayo yenyewe ni open source. Ukitumia Jellyfin utaweza kutengeneza media server yako, na hata kam ukiwa hauna data za internet lakini vifaa vyako vimeunganishwa kwenye network "Local...
  2. Tebajanga

    Nimeunda File Server kwa Shilingi Laki 2, Njia Rahisi ya Kuhifadhi na Kuhamisha Mafaili

    Kabisa Mkuu Kiranga , Privacy ni muhimu sana. Kiukweli hata mimi haizidi mara tano kuangalia content kupitia Jellyfin kwenye simu. Mara nyingi nafanya ku-search na ku-wishlist halafu baadae naziangalia kwenye big screen. Mara nyingi nawaachia watoto waitumie Jellyfin kwenye smartphone na tablet.
  3. Tebajanga

    Nimeunda File Server kwa Shilingi Laki 2, Njia Rahisi ya Kuhifadhi na Kuhamisha Mafaili

    Mkuu Kiranga , Plex wana "features" mbalimbali ambazo Jellyfin hana ila kuzipata hizo "features" itabidi uwe na "Plex Pass". Ila Jellyfin ni "open source" na unaweza kui-"customize" na features zake ni bure. Kwa mfano Jellyfin unaweza kutazama "content" hata kwenye "smart phones" bila kulipa...
  4. Tebajanga

    Nimeunda File Server kwa Shilingi Laki 2, Njia Rahisi ya Kuhifadhi na Kuhamisha Mafaili

    Mkuu round kick, umesema umeiweka hard disk ndani ya cpu, kivipi? Au ulimaanisha ndani ya "Computer case" ?
  5. Tebajanga

    Nataka kununua router ya Airtel ila mitandaoni malalamiko ni mengi kuhusiana na network yao, naombeni ushauri

    Kwa upande wangu naona mtandao wa Vodacom unajitahidi sana. Nina 5G router yao na nimejaribu kuitumuia sehemu mbalimbali na ipo vizuri. Ninaitumia karibia miaka miwili na zaidi sasa. Sehemu ambapo hakuna 5G inatumia 4G. Pia baadhi ya router zao zina "band locking feature", hii inasaidia sana...
  6. Tebajanga

    TANESCO naomba maelezo ya kina, nimechanganyikiwa (Kuhusu Kununua Luku Na Units Unazopata)

    Mkuu kama unataka "concrete answers from Tanesco" nadhani ukipiga simu Tanesco huduma kwa wateja watakuelewesha vizuri zaidi. Mimi niliwapigia na wakanielewesha makato yalivyokatwa pindi nilivyonunua umeme.
  7. Tebajanga

    Nina nyumba uswahilini inatengeneza Tsh. 40,000/- kwa mwezi, niendelee au napoteza muda?

    Mkuu mi na mawazo tofauti kidogo. Kama hiyo nyumba imezungukwa kila sehemu, basi vunja hiyo nyumba halafu patengeneze kuwe sehemu ya kupumzikia / zile playground za watoto. Najua majirani hao hawakosi watoto, kwahiyo watapenda tu kuja kupoteza mda hapo na utakuwa unawachaji hela ndogo tu...
  8. Tebajanga

    Kwanini Serikali isiweke utaratibu wa watoto wa nursery na daycare kuingia saa 3 asubuhi?

    Mkuu unamaanisha International schools kweli au ulitaka kusema English Medium?
  9. Tebajanga

    Harufu ya utapeli, kuna watu watalia na kusaga meno soon

    Mimi walinitafuta wakanitumia 15,000. Wakashusha commission kutoka 1000 hadi 500 kisa sikufanya hiyo task yao ya prepaid (Ya kutuma hela). Nikawaambia basi wanikopeshe 50,000 ili niiweke kwao, na nikipata faida nitawarudishia hela yao, mpaka leo hawajanijibu. Mi ninavyoona ukikutana na hawa...
  10. Tebajanga

    Ninataka kuchukua mkopo wa Tsh. Milioni 50 Benki ya CRDB kwa miaka 9, marejesho jumla nitalipa M90

    Nimekuelewa, utaziweka kwa mda mrefu. Ila kwanini usifanye hivi; Hiyo amount ambayo unapanga kuirejesha benki kila mwezi kwa miaka tisa, badala ya kuchukua mkopo na uipeleke benki, basi kila mwezi iweke UTT, naamini ukifanya hivyo ndani ya hiyo miaka 9, hela yako ya UTT inaweza kufika zaidi ya...
  11. Tebajanga

    Ninataka kuchukua mkopo wa Tsh. Milioni 50 Benki ya CRDB kwa miaka 9, marejesho jumla nitalipa M90

    Mkuu, kwa nilivyokuelewa hiyo 400K ni rejesho ya riba, Je rejesho lote (riba + deni) kwa mwezi itakuwa kiasi gani? Umesema unataka kuweka UTT, kwa uelewa wangu ukiweka UTT hiyo 50M mfuko wa bond, kwa mwezi utapata ~430K. Je hiyo faidia ya mwezi kutoka UTT itaweza kulipa rejesho lote la mwezi...
  12. Tebajanga

    Natafuta Television ya LG QNED85 miniLED 2022 inches 65 au 75

    Mkuu, nimeiona sema hii ni model ya 80, natafuta ya model 85. Inaandikwa hivi; LG 65QNED85 miniLED au LG 75QNED85 miniLED.
  13. Tebajanga

    Natafuta Television ya LG QNED85 miniLED 2022 inches 65 au 75

    Asante sana mkuu, nadhani hiyo 65 inches itakuwa nzuri zaidi. Naomba unitumie picha niweze kuona.
  14. Tebajanga

    Natafuta Television ya LG QNED85 miniLED 2022 inches 65 au 75

    Sawa mkuu. Naomba unitumie picha yake niweze kuiona.
Back
Top Bottom