Fanyia mazoezi kwako, uwanjani au open space.hii ni Tz barabara ni ndogo driver akibanwa anakuletea, ukikimbia mitaani akiitiwa mwizi umekwisha.
Chaguo ni lako!
Kwa siku za karibuni magazeti na BAADHI ya media zetu zimekua zikileta ushabiki wa kindezi kwenye mambo ya msingi ambayo ni ya kitaifa.
Inaweza ikawa wanafanya hivyo kwa kuamua au kuna affiliation na wanaowatuma.
Ni jambo la hatari sana pale media zinapojitoa akili na ku provoke mijadala ya...
Ni kweli mkuu..hiyo ni primitivity at its best.Kama ni security lights sasa zitalinda saa ngapi..nina jirani yangu msomi ila ana hizo swaga yani anatamani amulikwe na taa zangu, ila vibaka walimnyoosha naona sasa hivi anafuga kambwa sema taa hawashi.
Msiandike habari za kitaalamu kama hizi kama unaandika juu ya VICOBA.
Heading inasema kingine content inasema kingine.
Kuna tofauti kati ya inaweza na inasababisha!
Well, issue za hoyce ni yeye na aliyekua muajiri wake UNDP, sidhani kama zina uhusiano na TISS.
May be tuseme baada ya kuwa rufaa yake huko kwa aliyekua muajiri wake imeshindikana tuseme atumbuliwe kwakua ameonekana hakufit ila has nothing to do na Diwan. Pia masuala ya Hoyce yamepita sio ya...
Mkuu unamuona wa kuhoji vitu kama hivyo? Sihukumu ila ni kama wannachi walio wengi "wameridhika na mambo yalivyo" na wanaishi maisha yao! Angalia bei ya petrol alafu jiulize isingekua msururu wa makodi bei isingekua hivyo! ila nani amehoji? wanasiasa wame take over kila kitu nchi hii! Kazi ipo!
Mkuu Shakari Hakuna cha kutoka hadharani zaidi ya hapo, tuliosoma CUBA tumeshaelewa muda mrefu sana mbona kila kitu kiwazi kabisa.... vijana wanasema ukiona hivyo wahuni wamegusa pabaya!
Mleta hoja asibezwe:
Swali la msingi: Impact ya wasomi wetu kisiasa kiuchumi etc ni visible? Hili ndio swali la msingi! Ni sawa na useme kaya yako imejaa wasomi….je uwepo wasomi ume impact vipi maendeleo ya Kaya yako? Au ni intellectual arrogance na bragging tu!
Well, wastaafu wetu tunawaheshimu na kuwapenda ila mzee wetu JK mbona kama analazimisha kila mtu ajue kua “yeye ndio man of the show” ?
Tunajua ni mastermind wa siasa za Tz hasa kipindi hiki cha awamu hii but mambo mengine angeachia wahusika “wapambane” !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.