Angefanya yafuatayo angekuwa ni shujaa, level za kina Mandela lakini ndo hivyo tena
1. Kwanza hakutakiwa kugombea kwa muhula wa pili. Muhula wa kwanza ulikuwa unamtosha. Ingemjengea hesima kubwa sana
2. Angetumia miaka 4 kuhakikisha analeta Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi. Angefanya hivi...
Katika siku za karibuni, kumekuwa na matukio ya watu kutekwa na kupelekwa kusikojulikana, hali inayozua hofu kwa Watanzania wengi pamoja na familia, ndugu, jamaa, na marafiki.
Hivi karibuni, mnamo Oktoba 29, 2024, majira ya saa tatu usiku, watu wasiojulikana walimteka mfanyabiashara Joseph...
Mimi ni mmoja wa makada wa CHADEMA ambao tulikuwa tunasimamia uchaguzi mkoani Geita eneo la NMC
Kama moja ya wasimamizi wa uchaguzi huo, mara baada ya majina kubandikwa nimegundua udanganyifu mkubwa uliofanywa ikiwemo uwepo wa wapiga kura hewa takriban 300.
Orodha ya wapiga kura...
Wakuu huko Venezuela, kituo kimoja cha habari kimefungiwa kwa sababu editors walichapisha katuni inayoelezea matukio ya utekaji na mauaji yanayoendelea kwenye nchi hiyo.
Hivi mtu unamiliki jeshi, FFU nzima iko chini yako na unaweza kuamua kila kitu kwa kauli moja tu, unaanzaje kufungia media...
Habari zenu wanajamvi. Mko vizuri?
Kama unafuatilia jukwaa hili basi bila shaka utakuwa unafahamu mengi kuhusu mbio za uchaguzi zinazoendelea Marekani.
Ni Trump Vs Kamala. Hii hata watoto wa 2000 watakuwa wanafahamu.
Wengi wasichofahamu ni kuwa karibu kila opinion poll Marekani inatabiri kuwa...
Habari zenu wakuu! Natumaini mko poa na ni wazima wa afya hasa watu wa jukwaa hili la entertainment.
Nisifanye ajizi na niende moja kwa moja kwenye mada.
Mapema mwaka huu BASATA walitangaza kuwa tuzo za TMA zimerudi ambapo Seven Mosha wa Sony na Natasha Stambuli wa Boomplay walitangazwa kuwa...
Solution ni kujenga mkoani. Then Dar unapanga centre au karibu na eneo lako la kazi.
Hiyo nyumba ya mkoani unapangisha, then ukistaafu unaikarabati kidogo unazeekea huko.
There’s no point ya kujenga Dar.
Rayvanny angerudi Wasafi. For two years hana hit hata moja instead ameamua kwa wasanii wengine kufanya remix.
Hii hashtag yake ya Global Way inamgharimu
Unakumbuka Ile ngoma Water? 🎶Baby Sweat, Baby Water🎶
Sasa msanii ambaye ameimba ngoma hiyo yaani Tayla ameshinda tuzo Ya Grammy usiku huku akiwabwaga wasanii Wakubwa ikiwemo Davido na Burna Boy.
Tayla ameshinda tuzo hiyo kubwa kupitia kipengele cha Best African Music Performance alichokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.