Recent content by tchao

  1. T

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Salaam wakuu kwa wale wadau wa 1xbet .. Naomba kujuzwa ni wapi ninapohitajika kujaza ID namba ya kitambulisho maana nimeenda sehemu ya kuedit informations nime edit vyote lakini sehemu ya kujaza iyo ID namba sijaiona.
  2. T

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Salaam, wale wa PLAYMASTER ni wapi tunabofya ili kufanya iyo CASHOUT. Nimeona screenshot hapo juu mdau kaituma, natanguliza shukran!
  3. T

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mr Q .. Samahani, hiyo betting site unayotumia inaitwaje??
  4. T

    Nafasi 4 za Kazi Dar na Arusha

    Salaam .. Aliefanikiwa"kupakia" kati ya cover letter au resume atoe mwongozo maana mm imenigomea kabisa!!
  5. T

    Waliosoma Jitegemee Secondary School hebu ingieni hapa Tusalimiane

    Wapi MTOKAMBALI, KWEMBE, NDIYAMUKAMA, NYAHONYO, NZIKU, CHAO bila kuwasahau walimu wng wa darasa wa 4m 5 na 6(HGE) 2011-2013 NGAMESHA na KINYERO..
  6. T

    UDOM best wishes in UE

    Best wishes buddies..
  7. T

    Heslb yatoa mikopo tena

    Mm pia cjayaona npo MZUMBE UNIVERSITY..
  8. T

    wale wa mzumbe

    Nashkuru kwa taarifa mungu akubariki..
  9. T

    wale wa mzumbe

    Jamani mm naweza kufika chuo kwnye jumatano hivi kwa sababu bado pesa haijatimia ya gharama za hapo chuo, je naweza nikapat chumba au ndo ntakosa na nilishapingiwa hostel ya NYIRENDA..
  10. T

    Tumuombe Mungu about heslb

    InshaALLAH, almighty god be with us..
  11. T

    Loan board

    Mpaka sasa nimepoteza uzito kilo 5 kwa kufikiria hili swala na mikopo na HESLB kwa ujumla..
  12. T

    Heslb na boom

    Nimekuelewa mkuu zaidi ya sana, mungu akubariki.
  13. T

    Loan board yatoa loan breakdown

    Tunashukuru kwa kuturusha roho sisi tunaotegemea kuanza mwaka wa kwanza mwaka huu.. Overr!!
Back
Top Bottom