Recent content by tbrighton

  1. T

    UKAWA wagomea kampeni ya usafi Dar!

    Wewe jidanganye rafiki yangu; hakuna cha usafi hapa. Siasa tu. Wewe subiri uone.
  2. T

    Dr Slaa, tatizo la Tanzania ni Richmond tu? Vipi EPA, Kagoda, Meremeta, Escrow, Mabehewa na Nyumba z

    Jamani yeye kapewa mkataba kudeal na issue ya Richmond tu,tatizo liko wapi ndg?.issues za escrow na nyingine tender inakuja ,unaweza kupewa cha muhimu uombe tu.
  3. T

    Ni laana kwa watanzania kuirudisha tena CCM madarakani hata kama Magufuli anakubalika!!

    Watanzania tumelainiwa sijui na nani,tumeishaanza kusahau ahadi za 2005,tatizo mfumo uliopo..acha wapate kula za kishindoooo.
  4. T

    Pombe imesambaratisha familia, nahitaji ushauri

    Wewe na mkeo mmeishakuwa mwili mmoja.mmeunganishwa tayari na watoto.wazazi wana nafas yao kama wazazi kwa ushauri tu.mwamuzi wa mwisho ni wewe na mkeo.tunza familia yako.
  5. T

    nauza LAPTOP bei poa nna shida!!

    Weka namba ya simu tuwasiliane.
Back
Top Bottom