Recent content by TBR-Legendary

  1. T

    Kwa anaeuza viatu

    Wana JF nahtaj kufungua biashara ya kuuza viatu(simple), kama converse, snika na vyovyote ambavyo vipo simple zaid na quality(grade 1) vya mtumba. hvyo anaeuza kwa bei ya jumla au anamjua mtu anaeuza naomba aandikie namba ya cmu ili tuwasiliane tufanye biashara, then nasikia vinavyotoka kenya...
  2. T

    Television zetu jamani

    Ndugu wana jf binafsi nimeliona hili na nikaona hebu tujaribu kushare mawazo yetu. kuna jambo linashangaza ktk vituo vyetu vya tv hapa nchini, most of them matangazo yao wanayatoa kwa lugha ya kiswahili kwa lengo na kujua kwamba watanzania ndo lugha yetu ya taifa na ili taarifa au habar ifike...
  3. T

    Wanawake wawili wazuri kuliko wote duniani

    yah huyo mdada kwel ndo huwa anatambulishwa kama mzur kuliko wote dunian, bt mim huwa sielew ni vigezo vip vinatumika kulithibitisha hilo!...je ni sura tu au waliangalia na vingne kama umbo na vip hana maj?...sorr
  4. T

    Mzee wa miaka 67 abeba mifuko 6 ya siment kwa wakati mmoja

    babu anaonekana ni mtu wa mazoez c unaona hata mkono wake ulivyojaa, bt kiumri anajiua zaid.
  5. T

    Profesa Asiye na Makuu

    ha ha ha kwenye kutafuta uongoz wote tupo sawa jaman!.....lakin wakipata mmmmh
  6. T

    hello

    Aim ni kuzid kulisongesha...
  7. T

    hello!

    plz nipokeen
Back
Top Bottom