Wana JF nahtaj kufungua biashara ya kuuza viatu(simple), kama converse, snika na vyovyote ambavyo vipo simple zaid na quality(grade 1) vya mtumba. hvyo anaeuza kwa bei ya jumla au anamjua mtu anaeuza naomba aandikie namba ya cmu ili tuwasiliane tufanye biashara, then nasikia vinavyotoka kenya...
Ndugu wana jf binafsi nimeliona hili na nikaona hebu tujaribu kushare mawazo yetu. kuna jambo linashangaza ktk vituo vyetu vya tv hapa nchini, most of them matangazo yao wanayatoa kwa lugha ya kiswahili kwa lengo na kujua kwamba watanzania ndo lugha yetu ya taifa na ili taarifa au habar ifike...
yah huyo mdada kwel ndo huwa anatambulishwa kama mzur kuliko wote dunian, bt mim huwa sielew ni vigezo vip vinatumika kulithibitisha hilo!...je ni sura tu au waliangalia na vingne kama umbo na vip hana maj?...sorr
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.