Nikikukabidhi moyo wangu
Hivi utanitesa mie,
Naogopa nikikukabidhi moyo wangu
Nahofia utanitesa mie,
Wewe mtoto wa mjini
Umezoea bata, mimi sina hizo!
Nimekuzwa kwenya dini
Nisije kupa moyo, ukanizawadia pigo. peh peh peh peeeh [emoji448][emoji448][emoji448]