Recent content by Tayo zeboss

  1. Tayo zeboss

    Maisha yananikatisha tamaa sana

    Amen. Na pia Mungu akupe moyo wa uvumilivu.
  2. Tayo zeboss

    Maisha yananikatisha tamaa sana

    Mkuu kama mzma afya unayo nguvu unayo na Bado unaishi kwa hilo tu mshukuru Mungu. changamoto kila mtu anapitia ili kujifunza kitu, ili cku unazifumania ufanye ya msingi maana wakati mwingine mali ukizipata kiraisi bila msoto zinaishiaga kwenye starehe tu. kaza buti fanya kama upo darasani vile...
  3. Tayo zeboss

    Nimeshaoa, naombeni nifahamu mambo ninayotakiwa kufanya na kutofanya kwa mke

    NDOA: easy word to explain bt hard to used 2do it
  4. Tayo zeboss

    Ndugu wafidiwe pesa katika mitandao ya simu ikitokea wenye Akaunti zenye salio wameaga dunia

    Nyie ndio watu tunaowahitaji ktk jamii inayotuzunguka kwani mnawaza ambayo yapo ktk jamii yetu na tunaishinayo lkn kutokana na dhiki kuwa nyingi na changamoto za maisha tunakosa muda wa kufikiri kuyahusu.. Naunga hoja mkono mkuu.
  5. Tayo zeboss

    Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda

    Kama jamaa kaleta posa then kakuvalisha pete ya uchumba na mahari amelipa mpe mzigo huo tena kiuno ukizungushe vzuri! La siivyo hakuna ndoa hapo.
  6. Tayo zeboss

    Waafrika/watu weusi tuna matatizo gani?

    Kwaiyo mkuu unataka kuniambia hasili yako wewe kumbe ni nyani?
  7. Tayo zeboss

    Uharamu wa vitu hivi uko wapi?

    Sifa ya kwanza; kwenye kanisa langu hakutakuwa na sadaka kbs wala hutaona vikapu vya sadaka Ila ukiguswa na mahubiri yangu ruksa kutunza! Kama wasanii wanaimba ujinga na wanatunzwa je, kwangu mtumishi siujinga kukataa? Sifa ya pili; bakora lazima ziwepo kwa7bu sadaka hakuna asa tubembelezane nn...
  8. Tayo zeboss

    Uharamu wa vitu hivi uko wapi?

    Nyie si mmeshazoea kukumbatia uwovu na ujinga na kubembelezana ktk ibada zenu ili waumini walete sadaka lkn hamjui kuhubiri ile kweli ili watu waongoke na kumjua Mungu hivyo huwez nielewa maisha yako yote wala kuelewa topic zangu Kenge weee!
  9. Tayo zeboss

    Ubatizo wa kweli ni Maji Mengi au Maji Machache?

    Ubatizo ni kitendo cha imani tu yanii kuzaliwa mara ya pili kuacha maisha ya zamani na kuishi maisha mapya yaliomo ktk maandiko au maisha ya Yesu aliyoishi au yale aliyotufundisha, mtu akikupiga shavu la kulia mgeuzie na lakushoto, mtu akikuibia TV mwachie na king'amuzi vitu kama hivyo mkuu. NB...
  10. Tayo zeboss

    Uharamu wa vitu hivi uko wapi?

    Mkuu maswali yako yote mepesi tu; imani yangu inaniambia kupitia Yesu, "sichokiingiacho kinywani kimtiacho mtu unajisi bali kile kimtokacho kinywani ndicho kimtiacho mtu unajisi. 2) hilo lakuongea chooni mimi naongoza maana chooni ndio sehemu yangu ya kufanya mazoezi yangu ya kuimba! Sasa hao...
  11. Tayo zeboss

    Namna ya kufanya ili nirejeshewe pesa ninazomdai mtu Shilingi milioni 105

    Ukiwa na pupa na ukiwa na roho nyepesi utapoteza haki yako maana maandiko yenewe yanakuambia "mawazo yenye bidii {ktk lengo au kusudi fulani} huelekea utajiri tu, Bali kila mwenye pupa huuelekea uhitaji. Kwaiyo kuja hapa na kuomba ushauri umekuja sehemu sahihi kbs kwa kuwa umeonyesha bidii ya...
  12. Tayo zeboss

    Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

    Kuna mtu anatakiwa kuuziwa mbuzi kwenye gunia [emoji85] lkn huko mbele huko kuna shida naiyona. hzo missions zpo Sana Ila shida inakuja damu ni nzito kuliko Maji. Ana dai ameshapata huyo mtu na anasifa zote lkn anaogopa jamaa acje akapenda mazima! Swali linakuja kwa huyo mtt atakuwa mali ya nan...
  13. Tayo zeboss

    Natafuta mwenza

    Nikikukabidhi moyo wangu Hivi utanitesa mie, Naogopa nikikukabidhi moyo wangu Nahofia utanitesa mie, Wewe mtoto wa mjini Umezoea bata, mimi sina hizo! Nimekuzwa kwenya dini Nisije kupa moyo, ukanizawadia pigo. peh peh peh peeeh [emoji448][emoji448][emoji448]
  14. Tayo zeboss

    Natafuta mwenza

    Mkuu enzi za ujana ulikuwa wap? Ila kama ulikuwa unatafuta bac mrembo amepishana na gari la mshahara!
  15. Tayo zeboss

    Samsung Galaxy S23 Ultra kuja na kioo flat tofauti na S22 Ultra

    we are waiting to announce the winner today
Back
Top Bottom